MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Hivi juzi vioo ngozi wa TFFkupitia kwa S. Kayuni walitangaza kuwa Kaseja na mzungu wa Yanga wanafungiwa mechi tatu kwa kutosalimiana na mgeni rasmi- Mkuu wa mKOA wa Mwanza A. kandoro.
Lakini baada ya kufuatilia wamekuta kumbe Kaseja alisalimiana na mkuu wa mkoa huyo. Baada ya hayo wakasema kuwa hakusalimiana na wachezaji wa yanga. halafu adhabu ileile.
sasa haieleweki mbona wao hawajiadhibu kwa kudanganya?
halafu umakini wao upoje, kama unaweza kumwadhibu mtu kabla ya kujua kosa halisi la mtu? au ni visa tu?
Mimi binafsi hainiingii akilini kuwa wanapata wapi taarifa hizi hadi wazichanganye hivi?
Na inalkuwaje makosa yanahama lakini adhabu inabaki?
Au walishapanga tu kumpa adhabu hii! Mimi nahisis hata Maximo hakuwa yeye ila ni hawa jamaa? au mnasemaje! mimi naingia hasira na hili soka la bongo mbona la fitina?
Au tuendelee kushabikia Arsenal, Real Madrid, na hizo Juve tu.
Lakini baada ya kufuatilia wamekuta kumbe Kaseja alisalimiana na mkuu wa mkoa huyo. Baada ya hayo wakasema kuwa hakusalimiana na wachezaji wa yanga. halafu adhabu ileile.
sasa haieleweki mbona wao hawajiadhibu kwa kudanganya?
halafu umakini wao upoje, kama unaweza kumwadhibu mtu kabla ya kujua kosa halisi la mtu? au ni visa tu?
Mimi binafsi hainiingii akilini kuwa wanapata wapi taarifa hizi hadi wazichanganye hivi?
Na inalkuwaje makosa yanahama lakini adhabu inabaki?
Au walishapanga tu kumpa adhabu hii! Mimi nahisis hata Maximo hakuwa yeye ila ni hawa jamaa? au mnasemaje! mimi naingia hasira na hili soka la bongo mbona la fitina?
Au tuendelee kushabikia Arsenal, Real Madrid, na hizo Juve tu.