Kuna uhusiano kati ya namba 17 na ufundi uwanjani?

Smart AJ

JF-Expert Member
Mar 21, 2022
5,543
5,753
Nimejaribu sana kufuatilia wachezaji wanaovaa mamba 17 hapa kwetu na baadhi wa huko ulaya, nimegundua hawa wachezaji huwa na ufundi sana na wanajua sana, ni nadra sana kumkuta mchezaji anavalia namba 17 halafu sio mchezaji mzuri.

Chama - Simba

Faridi Musa - Yanga

Sospeter Bajana - Azam

Sadio Mane - Bayern Munchen

Kevin De Bruyne - Man City

Jafar Salum Kibaya - Ihefu FC

Hasan Mwaterema - Kagera Sugar

Sixtus sabilo-mbeya city

Salumu kihimbwa -dodoma jiji

Hawa ni wachache kati ya wengi ambao mimi binafsi huwa nawakubali sana..
 
17=1+7
= 8
Nimejaribu sana kufuatilia wachezaji wanaovaa mamba 17 hapa kwetu na baadhi wa huko ulaya, nimegundua hawa wachezaji huwa na ufundi sana na wanajua sana, ni nadra sana kumkuta mchezaji anavalia namba 17 halafu sio mchezaji mzuri.

Chama - Simba

Faridi Musa - Yanga

Sospeter Bajana - Azam

Sadio Mane - Bayern Munchen

Kevin De Bruyne - Man City

Jafar Aalum Kibaya - Ihefu FC

Hasan Mwaterema - Kagera Sugar

Sixtus sabilo-mbeya city

Hawa ni wachache kati ya wengi ambao mimi binafsi huwa nawakubali sana..
 
Jamal musiala is the future ballon d'or of our generation super superb talent from jamal musiala the future of football is in safe hands.
 
Back
Top Bottom