Penguinelli Cactussini
Member
- May 23, 2022
- 92
- 339
“Uranium haiwezi kuwa na umuhimu kwa watu ambao hawajui afya zao zitarejeshwaje wakiugua. Watoto wao wanasoma mazingira ya duni.......”
Mfano hoja ya “wanaomezea mate madini ya uranium”. Kulikuwa na haja gani ya kuizungumza jukwaani wakati hao wanaomsikiliza wanashida ya maji toka dunia kuumbwa?
Ni kweli uranium ni muhimu lakini unapata wapi nguvu ya kujadili suala la mabilioni wakati wananchi wana njaa? Mwenye njaa anawaza kushiba kwanza kabla ya kuleta hoja kuwa uranium ni muhimu.
Uranium haiwezi kuwa na umuhimu kwa watu ambao hawajui afya zao zitarejeshwaje wakiugua. Watoto wao wanasoma mazingira ya duni, wazazi wamepoteza watoto wao kwa mauaji ya kikatili, wafanyabiashara wana kodi lundo, vijana hawana ajira na bahati mbaya hawawezeshwi kujitegemea,
Hakuna uwajibikaji kwa viongozi wanaotumia madaraka yao vibaya, mafisadi hawapelekwi mahakamani. Mahakama si huru. Wananchi hawana imani na jeshi la polisi na JWTZ. Nk
Ningeandika mengi lakini nahofia nikisema nitapotezwa na ndio kwanza naelekea miaka 27 mwezi January na sina mtoto.
Mfano hoja ya “wanaomezea mate madini ya uranium”. Kulikuwa na haja gani ya kuizungumza jukwaani wakati hao wanaomsikiliza wanashida ya maji toka dunia kuumbwa?
Ni kweli uranium ni muhimu lakini unapata wapi nguvu ya kujadili suala la mabilioni wakati wananchi wana njaa? Mwenye njaa anawaza kushiba kwanza kabla ya kuleta hoja kuwa uranium ni muhimu.
Uranium haiwezi kuwa na umuhimu kwa watu ambao hawajui afya zao zitarejeshwaje wakiugua. Watoto wao wanasoma mazingira ya duni, wazazi wamepoteza watoto wao kwa mauaji ya kikatili, wafanyabiashara wana kodi lundo, vijana hawana ajira na bahati mbaya hawawezeshwi kujitegemea,
Hakuna uwajibikaji kwa viongozi wanaotumia madaraka yao vibaya, mafisadi hawapelekwi mahakamani. Mahakama si huru. Wananchi hawana imani na jeshi la polisi na JWTZ. Nk
Ningeandika mengi lakini nahofia nikisema nitapotezwa na ndio kwanza naelekea miaka 27 mwezi January na sina mtoto.