Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,824
Jk alipotoka madarakani aliacha deni la taifa
Likiwa trillion 43,akaingia jpm kipindi chake
Deni likapanda mpaka trillion 61
Ova
inaonesha hujui kitu ngoja tuweke sawa
mpka anatoka nyerere madarakani deni lilikuwa trilion 3
mzee mwinyi alipotoka baada ya miaka 10 alikopa mpka kufikia trilioni 18 alipoingia mzee mkapa alifanikiwa kulipunguza mpka kufikia trilioni 10, mzee kikwete akakopa mpka kufikia trilion 35 kwa kipindi cha miaka 10 alipoingia Jiwe kwa miaka mitano tu liliongezeka mpka kufikia trilion 63, ndiye raisi alieongeza deni kuliko wote tena kwa mda mchache tu, ameligharimu taifa kwa kiasi kikubwa sana