Ndugu zangu Watanzania,
Mimi nipo kwenye sekta ya afya.
Kwa wiki tatu sasa kuanzia katikati ya November 2020 kumekuwa na mlipuko wa homa kali na mafua makali ambayo huambatana na kikohozi.
Kwa takwimu ndogo niliyochukua kutoka vituo mbalimbali vya afya ni kuwa kuna ongezeko la wagonjwa wa
1. Homa kali
2. Maumivu ya kichwa
3. Mafua makali
4. Mafindofindo
Ni wazi kuwa tunapitia katika kipindi kigumu cha magonjwa haya.
Wengi wa wagonjwa hupona katika kipindi cha siku nne mpaka 7.
Mmejiuliza pia sababu ya mlipuko huu?
Wagonjwa wengi wamepimwa malaria lakini hawana malaria.
Hivyo madaktari wengi wamewapa dawa za homa na kikohozi.
Hali ikoje huko kwenu?
Mie pia nimeuguliwa na mwanangu kwa hizi homa homa tu hadi mauti imemukuta .Pumzika kwa amani Shanon wangu.Mie sina la kusema zaidi Mungu ndio mwamzi wa mwisho.
Ni kweli kabisa. Mimi ndio nimepona leo toka jumatatu.
Yaani nimekohoa mpaka misuli ya tumbo ikawa inauma kama mtu uliyefanya mazoezi ya kunyanyua kitu kizito ukiwa chali.
Hahahah ni kweli, ila nimecheka sana. Hii kitu niliambiwa karibuni week 2 sasa nikaifatilia kwa kunusa nusa work mates hasa wale wanaokujaga bila kujisprayIla kuna kitu kingine nimekigundua, sasa hivi binadamu TUMEKUWA NA HARUFU mpya ya kikwapa, sijui kama watu wamefuatilia, yaani sasa hv kikwapa kina harufu kama ya vilainishi vya mitambo ( lubricant ) . sitanii fuatilia
Tonses tumia ibuprofen, me zilinikamata mpaka nikachomwa sindano moja na hizo ibuprofen.mimi nimetoka hispital mda huu niko hoi....yaaan nmekua kama fala...homa kikohozi,mafua..matonses yote kwa pamoja!!!vinatesa sana
Mbona fresh tu tunakomaa nayoKabla ya kwend katk jiji la dar tarehe 28/11 niliasoma uzi ambao unaonyesh Hali ya Homa inayo trend dar ,
Ili nmefk kiukwel nmepokelew na mafua makali Mara kikohozi na nkaja kuumwa kichwa siku nzma ya 8/12 sambamba na Hapo nikajiongeza kutumia amoxicillin na dawa ya kikohozi mukolyn
Nmetumia nmemalza dozi lakn bado unakuta bado na kohoa na mafua ya hapa na pale yanaendelea (sambamba na Hospital kufk wakanpa daw hzo hzo )
Mlioptia Hali hiii mliikabl vp ?
Dar hatutaki wahamiaji, nendeni DodomaKabla ya kwend katk jiji la dar tarehe 28/11 niliasoma uzi ambao unaonyesh Hali ya Homa inayo trend dar ,
Ili nmefk kiukwel nmepokelew na mafua makali Mara kikohozi na nkaja kuumwa kichwa siku nzma ya 8/12 sambamba na Hapo nikajiongeza kutumia amoxicillin na dawa ya kikohozi mukolyn
Nmetumia nmemalza dozi lakn bado unakuta bado na kohoa na mafua ya hapa na pale yanaendelea (sambamba na Hospital kufk wakanpa daw hzo hzo )
Kwa Sasa nimetok dar nipo mtwara.
Mlioptia Hali hiii mliikabl vp ?