Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,460
- 4,771
sio mwanamke hizo lugha za mjini tu ndugu hebu tuyaache humuheeeee kumbe Watu8 ni mwanamke!!
sio mwanamke hizo lugha za mjini tu ndugu hebu tuyaache humuheeeee kumbe Watu8 ni mwanamke!!
Yeye ana mchumba;
Wewe pia una mchumba;
Endeleeni na wachumba wenu kila mmoja; alafu wewe na huyo mshkaji wa hapa JF muanzishe uhusiano usio rasmi; hakika mambo yatakuwa sawa kabisa.
One day I will find the right words
and they will be simple
Today you found them. asante kwa kunielewesha.
mie mzima wa afya njema kabisa, hofu kwako, umeona na davina hapo juu kapotea njia ama magari yamegongana:A S 13:, sijui ndugu yangu mankaa ndio katujia na hiyo?
Kaka hivi vinuka mkojo ukivifuatilia sana utapasuka kichwa bure. Mi huwa na update ignore list yangu mara kwa mara nisijepasua screen yangu bure.
ndo maana nkasema mwenye maaamuzi ya mwisho ni yy,ila pia ni vyema akaleta feedback ya decision atakayoamua,ila nahofia asije akatema big g kwa karanga za kuonjeshwaUnajua walikuwa wanaongea nini kila siku? Mwache mtoto afanye kile anachokiona kinamfaa, kama ni wembe umkate tu.
hana lolote ni other way round ya kumwonyesha huyo mkaka wa jf kwamba anampenda(kana kawamba kampa mtihani mgumu hajui achague wapi) kwani huyo kaka hajui yeyee anatumia id gani na hawezi kuiona hii thread???kweli kabisa hata mimi kankera anataka tumshauri upuuz anadhani kila mtu ni kicheche mwenzake yani amsaliti jamaa wa watu bila kosa lolote hajui huo ni mtihani tu?ndo hivi baadh wachaga walivyo si bure ukute huyo mchumba wake hata baskeli hana ndoo maan anajifanya eti kavutiwa na mchumba wa mtu si aseme tu kapenda pesa za jamaa wa jf??mshenz wa tabia wew
alafu kumbe kuna post nyingine alishaweka hapa kwamba ameolewa mkuu Watu8 ametuelewesha vyema,ndio matatizo ya kuwa na account nyingi mpaka unashau thread ipi ulipost habari ipi??Mkuu nilikua na mawazo kama yako. Huyu dada yaelekea hana msimam, ktk dunia hii utavutiwa na wangapi kwanini ujenge ukaribu na mtu wakati una mchumba wako. Eti bila kuwasiliana hawalali. Ninachokiona wote 2 hawajui wanataka nini ktk maisha yao. Halafu si kila anayetaka kutambulishwa ni muoaji kuna hata waliofikia hatua ya kulipa mahali na hawakua waoaji sijui huyu ndugu analijua hili.
why do u care?? anyway im male,kama utafuatilia coment yangu vizuri hiyo (between words),ungegundua kabla hata ya kuuliza,lastly thanks for the apreciationWaoooooo~ni nzuri sana hii,umemjib vizuri sn u my favourite one,but r u a male or female?
...njoo nione na mimi pia, and see if u can resist. Vizuri haviishi, na uzuri wa mtu si muonekano au uwezo, in life hasa ktk mahusiano ya kimapenzi kinacho bamba ni how ur partner handles u. r u sure that guy is perfect for u to give u happiness forever? au ndo kipya kinyemi???
.....just pop ur mind lady.....
....life is discipline......some games u play ....some games plays u...
Apaa warumu huu ni uchuro.Uyu Manka si ndo wale dada zangu wanaotokea upande ulee ambao wanatabia unique?Unawezaje kumuona mtu siku moja ukabomoa uhusiano uloujenga kwa miongo kadhaa?Kumbuka `Easy Come Easy Go'.Basi uyo unaemuita mchumba siye kwani kama ulishampataulitakiwa uache kuendelea kuchungulia madirishani kutafuta mwingine/wengine sana sana ungekuwa unatafuta kidumu tungekuelewa nakushauri tuliza moyo wako ili ubongo nao ukupe ushirikiano!yesu na maria manka!!! yani cha kuonana nae tu hapo hotelini umeshapenda kweli? Apa ruwa! Nyi watoto wa siku isi sijui mna laana gani... saa huyo mamsapu wako unayemjua nje na ndani unamuacha hifi hifi!!! hifi hifi manka? au kwa sababu hyo kipya kinyemi ana gari?
Wai...
napenda maua .... na ninadhni ni mzuri kama maua
nakusubiria pale escape one nikugeie hili ua!
![]()