Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

labda alishaacha..akamuoa..wakaachana akapata mchumba..sasa uyo mchumba kaovatekiwa na mkaka mzuri wa jf..na wale watoto aliwapata kwa mumewe wa mwanzo..lol...posibilitiz
  • dada na sikuelewi kabisa kuna siku ulikuja hapa kuwa mpenzi wako anakata kiuno.......
  • jana kama siyo juzi umesema una mume ...
  • leo unamchumba loh....
  • kuna siku ulisema unamtoto na wanaotoa mimba watajiju wanavyozidi kuzeeka loh ..... Ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbkumbu
 
labda alishaacha..akamuoa..wakaachana akapata mchumba..sasa uyo mchumba kaovatekiwa na mkaka mzuri wa jf..na wale watoto aliwapata kwa mumewe wa mwanzo..lol...posibilitiz

hata possibilities haziji mpenzi kabinti kaongo kwlikweli...
 
Alfu mwisho wa siku mnakuja kulalalamika hapa oohh mpenzi wangu hanijali oh mapenzi yananitesa nyokonyoko nyingi!,wewe unajijua una mpenzi/wako mchumba wako hw cone unakuwa close na mwanaume mwingine kiasi cha kila siku usiku lazima muongee na mengineyo,huyo anaweza akawa hana mapenzi ya kweli na ww may b amekutamani tu onetime,coz hajakugegeda,so ana hamu na ww,ila huyo ambae ashakugegeda na still anaweza kukuangalia machoni kukutamkia i love you huyo ndo ana mapenzi ya kweli,by the way maamuzi ni yako either kuharibu future yako au kuijenga.
Waoooooo~ni nzuri sana hii,umemjib vizuri sn u my favourite one,but r u a male or female?
 
Mankaa, wewe kila ukilala na kuamka asubuhi, unakuwa na "marital status" ingine tofauti na ya jana? Dah Mankaa mtoto wa kichaga acha hiso aitheeee.... bastora bado "mabwashee" wanaso etiii. Oohooo... shauri sako....!
 
Love at first site that is not love a feeling
But real live grooms in oneself and fot that need to stay alarted and get to know eachother and for that will tell if is true love o what? ???????
 
Mchumba wako hujaridhika naye ndiyo maana ulikubali kuonana na kaka wa JF huku ukijua tayari uko na hisia naye. Jiweke kwenye nafasi ya mchumba wako utaweza kufanya maamuzi sahihi huku ukikumbuka miluzi mingi humpoteza mbwa.

Hahahahahahahaaaaaaa!!! Umenifurahisha sana, {miluzi mingi humpoteza mbwa}
 
Usiache mbachao kwa msala upitao
Unamuacha mchumba wako kwa mtu uliemuona siku moja lol yatakushindaaaaaaaaa
Tamaa mbayaa
 
duuuuuh babu una kumbukumbu ujue wengine wanapenda kuandika vitu ambavyo sio kweli na kesho n keshokutwa anajisahau jana aliandika nini hajui kwamba humu kuna watu wana notebook kichwani

Ashasahau makubwaaaaa! !!!!!
 
samahani kidogo kabla sijashauri, una umri gani kwani?
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

Mankaa, acha tamaa bana!

Ni uongo, hujampenda huyo Mkaka bali umemtamani, umewaka tamaa! Au humpendi mchumba wako!
 
Back
Top Bottom