Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Shemeg miye huwa napenda sana kutoa ushauri kwa kuwa naguswa sana na shida za watu, lakini watu wanaotumia hadaa huninyong'oshesha sana...

Tunatumia muda wetu kushinda kijiweni, kuweka shauri zetu lakini kuna watu hawathamini hilo na kuona hapa kama uwanja wa kupeana soga na porojo...
ha haaaa, mtani umetishaaaaa.......
hiihuwa nachukia sana. Unakumbuka niliwahi kusema hapa muda fulani. kuna watu wanatoa mastori huko wanaturundikia hapa, tunajipinda kwa ushauri. siku hizi nimeacha....... yaani nimebaki kupiga mastori tu, nothing serious
 
Sa umtukane ili iweje?kwani ukiwa na MTU either way una date au umeolewa ndo mwisho Wa hisia?
Don't pint fingers about Mapenz just respect conditions
Ahaaa wewe utakuwa ndo huyo ulokutana na Mankaa,kwann unatetea upuuzi??
Sijasema ni mwisho wa hisia,Ukishakuwa na committment(uchumba/ndoa) lazima ujifunza kucontroll hisia zako au utakuwa mzinzi.....Kwanza kitendo cha yeye kuongea na mwanaume mwengine mpaka kuonana nae angali yupo kwenye mahusiano tayari kimenifanya nimuweke kwenye "BLACK LIST",hajiheshimu wala hajitambui na ana tamaa!!Kama hana furaha katika ndoa/uhusiano wake atafute suluhisho kwanza kabla hajaangukia pua.....
NANUKUU HAKUNA URAFIKI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME......MTAKUJA KUTAMANIANA TU NA NI NATURE!!
 
Last edited by a moderator:
Shemeg miye huwa napenda sana kutoa ushauri kwa kuwa naguswa sana na shida za watu, lakini watu wanaotumia hadaa huninyong'oshesha sana...

Tunatumia muda wetu kushinda kijiweni, kuweka shauri zetu lakini kuna watu hawathamini hilo na kuona hapa kama uwanja wa kupeana soga na porojo...
safi sana shemeg, ntakuletea zawadi kwa kazi nzuri unayoifanya. watu tunamaliza bundle zetu kumbe wanaleta mzaha. maskini bidada kaumbukaje sasa. lol
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

Dada samahani kama nitakuwa nimekosea, bila shaka utakuwa umezaliwa pale jirani na AMBIANCE! kama nitakuwa nimekosea basi piga ua utakuwa umezaliwa pale mkabala na Kimboka By Night.
 
mh wewe mtoa mada nahis ni dume labda...coz kwenye thread zako kuna ambayo umeeleza kuwa umeolewa leo.unasema unamchumba...kama ni nyuz unashusha humu au ni fantasy yako bora useme si kudanganya uma ...
 
Unatema Big G kwa karanga za kuonjeshwa. Naomba Mungu akupe hekima ya ajabu katika hili., Mwanamke akipenda huwa anapenda ukweli, sasa wewe leo huyo JF anatoka wapi wakati tayari una wako. Ebu mshirikishe Mungu, sisi ni wanadamu tu
 
makubwa haya huyo mi nafikiri umemtamani maana hilo ni jambo tofauti na kupenda halafu akitokea mwingine je? utamuacha na huyo(just in case ukampiga chini hubby wako wa sasa)?
 
Jamani wazee wenye busara akina Bujibuji wako wapi siku hizi hawasikiki waje watusaidie kufanya counseling kwa dada yetu? Tokea mwaka mpya umeanza umeadimika sana mkuu!
 
bara na visiwani...hapatikani...kashatoroka nchini...
kama guest au member hapatikani...kashatoroka jamvini...
tayta nasubiri picha ya manka katika situation kama hii.
 
Last edited by a moderator:
Najuta kwanini nilimshauri mwehu kama huyu Mankaa kutupotezea muda,,,kwanza inakuaje unaleta story za uongo zinazokuhusu kila siku wakati sio kweli no bora useme na nukuu au nimeipata sehem. Wanaboa sana watu hawa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom