Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Ahsante Mankaa kwa kunizimia kiasi hicho, yaani kwa kweli sijuwi nikuambie nini maana sikujuwa kama una ni mind kiasi hicho. Anyways, I hope tutaonana ili tuongee uso kwa uso this week end.
 
Last edited by a moderator:
yesu na maria manka!!! yani cha kuonana nae tu hapo hotelini umeshapenda kweli? Apa ruwa! Nyi watoto wa siku isi sijui mna laana gani... saa huyo mamsapu wako unayemjua nje na ndani unamuacha hifi hifi!!! hifi hifi manka? au kwa sababu hyo kipya kinyemi ana gari?

Wai...


Ingeishia vizuri kama ungetupia hii.... Laaa kucha!
 
Stay tuned, usichanganye vitu kama cloaca. huyo mpya ni ibilisi baki na wako wa zamani.
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

Ushasema na uyu umempenda licha ya kumpenda mchumba wako, tukushauri nini sasa???Kama umependa kote kote BASI VULIWA CHUPI NA WOTE.....Nahisi Ujajua nini maana ya kupenda Uwezi penda kote (Kuwili).
 
Ndo dada zetu wa siku hziii hpo tayali kishaa vutiwaa na wawil bdo hajakutana na baba kidumu anaefanyaa kazi B.O.T. nae anaungaa telaa hpoo nkugawaa papuchi mwanzo mwisho mpaka unawai kuzeeka. Kwa mpenz wako utampa coz umetoka nae mbali, hyu mchiz wa jf coz anamaneno matam na huo mwil ulokuvutia. Mwisho wamalizia kwa B.O.T yan hyuu mpaka tigo utampaa sindo babalao huna jeuri mbelee ya pesa
 
What ur doing isn't fair at all, kwa kifupi just know wat goes around comes around!
 
...njoo nione na mimi pia, and see if u can resist. Vizuri haviishi, na uzuri wa mtu si muonekano au uwezo, in life hasa ktk mahusiano ya kimapenzi kinacho bamba ni how ur partner handles u. r u sure that guy is perfect for u to give u happiness forever? au ndo kipya kinyemi???
.....just pop ur mind lady.....
....life is discipline......some games u play ....some games plays u...
 
Alfu mwisho wa siku mnakuja kulalalamika hapa oohh mpenzi wangu hanijali oh mapenzi yananitesa nyokonyoko nyingi!,wewe unajijua una mpenzi/wako mchumba wako hw cone unakuwa close na mwanaume mwingine kiasi cha kila siku usiku lazima muongee na mengineyo,huyo anaweza akawa hana mapenzi ya kweli na ww may b amekutamani tu onetime,coz hajakugegeda,so ana hamu na ww,ila huyo ambae ashakugegeda na still anaweza kukuangalia machoni kukutamkia i love you huyo ndo ana mapenzi ya kweli,by the way maamuzi ni yako either kuharibu future yako au kuijenga.

Mkuu mwambie. Wanaume wa tabia hii ni one nite stand. Dada tulizana na mchamba wako.
 
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....
Umeharibu pozi zima ndugu.
Mi naona ungeacha tu atufanye wajinga turirike kana kwamba hii ni ishu mpya,ngeni na ya kweli.
Walishasema "Ukimchunguza sana Kuku hutamla"
-Lakini unastahili hongera pia, Umedhihirisha kuwa upo makini.
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana n
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana


Machaga bwana mkiambiwa hamna mapenzi unakuja juu.
 
Mademu wa kichagga nao....ana Prado?

Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
Back
Top Bottom