Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

jamani unataka kuniambia hujui kuna kupendana upya mwezi huu?feb 14.. hiyoo indoor!
Okay kumbe imekaribia..ngoja nifanye mchakato wa utaratibu wangu wa kila valentine..
 
If you are in love with two people at the same time, chuz the second one, bcoz if you real loved the first you would fallen for the second1!! Fanya maamuzi sahihi
 
Okay kumbe imekaribia..ngoja nifanye mchakato wa utaratibu wangu wa kila valentine..
Sista n sister..

V….is for Valentine ; you are my only Valentine
A…..is for I will Always be yours
L…..is for Love at its most extreme
E…..is for Everlasting love ; Ecstatic love.
N…..is for Never-ending love
T…..is for we will Always be Together forever
I…..is for you being Intelligent and Innocent;
N….is 4 Natures naughty way of saying I love you too
E…..is for Eternity our love is so ever lasting .!!!!!!!


happy-valentines-day-2014-4.gif


happy valentine..
 
Last edited by a moderator:
follow ur heart 2 whom u realy lv....,bt its not fair 2 abandon ur boyfriend, 4 some1 u dn't know.....
 
Wanandoa wa siku hizi wakishatibuana, ukiwahoji kila mmoja anamlaumu mwenzake kuwa alificha makucha....sasa kwa aina hii ya mapenzi ya papo kwa papo sijui hayo makucha mnataka yaonekane kwa darubini ipi ?

Haya endeleeni lakini yatakapotibuka msije na aina ya utetezi kama huo hapo juu.
 
Habar zenu hopE mko good,

okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

Basi tukapanga kuonana ye anakaa mbali kidogo na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike

Mie hyo hadi nilipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprise sikuamini nilivutiwa sana na muonekano wake na yeye akafurahi sana kuniona .

Tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radhi kwa lolote he doesn't care!ananihitaji .

Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yoyote .

Nipeni msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa JF nimempenda tena sana.

chewing gum love.... full of fantasy

prepare to regret
 
Ni ishara umevutiwa na jamaa kwa kua ana gar na inawezekana mpenz wako hana,pili hujitambui na hujui unataka nn hasa,mi nakushaur uende kwa huyo jamaa wa jf achana na mchumba wako wa zaman,mwambie kua moyo wako umehamia kwingne ajue.

Tabia ya kuhamahama ikikuingia hutaacha,nakushauri rudi kwa jamaa yako wa mwanzo kwa afya ya future yako,sababu, sijui huyo unayemwacha mpaka sasa amefikia hatua gani ktk kujenga familia yenu mpya na ni sijui namna atakavyoathirika kwa uamuzi wako. Je una sababu gani nzito ya kumwambia ili uachane naye? Ni hiyo ya kumpenda jamaa wa jf?
 
Mchkue huyo wa pili coz kitendo cha kumkubalia tu kinaonyesha wa pili yuko vzr kuliko wa kwanza
 
Back
Top Bottom