Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

"One day your eyes will open and your mind will learn,with pain and laughter,you will know what you are."

Nakubaliana na wewe kabisa! Aaache mapepe, apende anapopendwa, utajuaje penzi la kweli kwa siku moja tu? Stupid!!!!
 
Ahaaa wewe utakuwa ndo huyo ulokutana na Mankaa,kwann unatetea upuuzi??
Sijasema ni mwisho wa hisia,Ukishakuwa na committment(uchumba/ndoa) lazima ujifunza kucontroll hisia zako au utakuwa mzinzi.....Kwanza kitendo cha yeye kuongea na mwanaume mwengine mpaka kuonana nae angali yupo kwenye mahusiano tayari kimenifanya nimuweke kwenye "BLACK LIST",hajiheshimu wala hajitambui na ana tamaa!!Kama hana furaha katika ndoa/uhusiano wake atafute suluhisho kwanza kabla hajaangukia pua.....
NANUKUU HAKUNA URAFIKI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME......MTAKUJA KUTAMANIANA TU NA NI NATURE!!

Ni kweli kabisa! Mwanamke wa aina hiyo ni shetani!!!
 
Last edited by a moderator:
yesu na maria manka!!! yani cha kuonana nae tu hapo hotelini umeshapenda kweli? Apa ruwa! Nyi watoto wa siku isi sijui mna laana gani... saa huyo mamsapu wako unayemjua nje na ndani unamuacha hifi hifi!!! hifi hifi manka? au kwa sababu hyo kipya kinyemi ana gari?

Wai...

labda dada manka atakusikilisa msee!
 
Mankaa mwaya kama haukunwi vizuri...hangaika tu..umri wako utakua unarusu..subir maradhi yatakukuna
 
Last edited by a moderator:
mwaaaaaaaahhh🙂🙂🙂 Excel

Sista n sister..

V….is for Valentine ; you are my only Valentine
A…..is for I will Always be yours
L…..is for Love at its most extreme
E…..is for Everlasting love ; Ecstatic love.
N…..is for Never-ending love
T…..is for we will Always be Together forever
I…..is for you being Intelligent and Innocent;
N….is 4 Natures naughty way of saying I love you too
E…..is for Eternity our love is so ever lasting .!!!!!!!


happy-valentines-day-2014-4.gif


happy valentine..
 
Last edited by a moderator:
Habar zenu hopE mko good,

okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

Basi tukapanga kuonana ye anakaa mbali kidogo na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike

Mie hyo hadi nilipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprise sikuamini nilivutiwa sana na muonekano wake na yeye akafurahi sana kuniona .

Tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radhi kwa lolote he doesn't care!ananihitaji .

Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yoyote .

Nipeni msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa JF nimempenda tena sana.

Una akili kama za popo anapandisha mijuu guu ili akae na kisha anajinyea usoni.
 
Ushauri wa bure nautoa kwako,si kila king'aacho ni dhahabu,isitoshe huyo mkaka ana mchumba anamsaliti anakutaka wewe nawe unakubali(maana inavyoonekana umekubali),ipo siku atamwona mwingine zaidi yako atakusaliti utamkumbuka wa zamani too late!
 
Hebu sikiliza moyo wako unavyokwambia na uufuate,,,,, mapenzi ni ku take risk bibie.. raha jipe mwenyewe!!
 
Unahitaji kumwomba Mwenyezi Mungu for direction,mara nyingi tunaingia mkenge sbb hatumshirikishi Mungu,tunategemea tu akili zetu wenyewe.Pima aina ya msukumo wa upendo wako,je ni wa ndani au nje.Ahsante.
 
Inavyoonekana unapenda kuwa na mwanaume mwenye gari, kama vipi kaolewe na CIFAO (DIT DOBIE)
 
Back
Top Bottom