Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Duuu mapema hivyo?? utakutana nao wengi tu na kila mmoja utampenda.

Join Date : 21st January 2012
Posts : 147
Rep Power : 434
Likes Received33
Likes Given5
 
Kuna basi zinaitwa Musoma Express zinatoka
Dar es salaam kwenda Musoma kila siku kuna
nisema kwakuwa huo Mkoa wa Mara hakuna
mzaha basi juzi pale Dumila

Jamaa mmoja akamwambia Dereva Musoma Exp
Muraaa fitaa ni fitaa itamke sasa kwa Kikurya

mleta mada tumia neno hilo la kikurya.
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

Kama tuko tayari mlete jamvini tuwakalishe kiti moto tupime misimamo yenu toward each other
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana
Kuna kauli tata nyingi..Lakini kauli tata kuliko zote ni hii "Nina mpenzi WANGU"
 
Jamani jamani jamani.....Kuna watu mna tamaa sijui nyege mshindo khaaa yaani sielewi......Una mtu kisha unatafuta mtu dah...Hata sijui niseme nini natamani nikutukane!!!!
 
ebu msome watu8 kwanza. Mankaa anacheza na akili zenu
Sorry......!

Is all that you cant say!!!!!

Words dont come easily!

Like sorry.....!

Forgive me!

But you cant say baby...! Baby can i hold you tonight..!

*kuna kitu nimemaanisha kulingana na topic*

ipo siku Mankaa utamkumkumbuka mtu wako wa kwanza! Mavi ya kale hayanuki!
 
Last edited by a moderator:
Jamani jamani jamani.....Kuna watu mna tamaa sijui nyege mshindo khaaa yaani sielewi......Una mtu kisha unatafuta mtu dah...Hata sijui niseme nini natamani nikutukane!!!!

Sa umtukane ili iweje?kwani ukiwa na MTU either way una date au umeolewa ndo mwisho Wa hisia?
Don't pint fingers about Mapenz just respect conditions
 
nimefuatilia posts zako humu, yaani wewe ni bonge la jambazi....pambaffffff:A S 27:
 
Hahaha!!! ni kwa nia njema tu

Habari ya wewe lakini?

mie mzima wa afya njema kabisa, hofu kwako, umeona na davina hapo juu kapotea njia ama magari yamegongana:A S 13:, sijui ndugu yangu mankaa ndio katujia na hiyo?
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana
The funny thing about luv is u can love two people but u can't be inluv with two people so just make decent choices a cha kupenda handsome au uwezo wake
 
Back
Top Bottom