Mwananjengo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 317
- 101
Kuna watu wanaboa na hizi stori zao za kusikia mitaani yani mtu asisikie kajambo huko mtaani tayari kesha kimbia kuja kuanzisha uzi humu, halafu bora basi uandike lakini ionekane haikuhusu wewe.
Ona sasa aibu inayokupata ukiwa mwogo usiwe msahaulifu Mankaa
Nakumbuka siku hiyo nilijipinda kuandika eti natoa ushauri kumbe stori ya uongo >>.yeroo.. nimeuzika sana mpaka mori imepanda.!!!!!
Mjinga sana huyu Manka,juz hata mm nljpnda nakutoa ushauri kumbe ni uongo tu.