Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

Nakushauri endelea kumheshimu mchumba wako! huyo wa mitandaoni unajua amesha kutana na wangapi wa mitandaoni kama wewe? usiheshimu sana mapendekezo ya macho kesho tena hayo macho yatakuambia leo ni huyu na mwisho wako utaishia kupoteza thamani ya usichana wako! mtafute mchumba wako leo umpe hata zawadi na umwambie umejisikia tu kufanya hivyo ila ndani ya moyo wako muombe msamaha ndani kwa ndani na ukiona amefurahia hiyo zawadi ujue dhambi yako hiyo ya usaliti umesamehewa! Uwe na hofu ya MUNGU binti.
 
NKuna mimwanamke mingine akili zao zpo kwenye ------ kama hili malaya la mji linawaza kuvuliwa c h u pi mda wote! Nenda kwa huyo uliyemshobokea ukapigwe kabang ukimbie na chupi mkonon
 
cheki tena account yako..kuna million 20 nimediposit ss hv
Mkuu nashukuru sana kwa kutimiza ahadi yako nafikiri ule mpango wetu utakamilika na nguo zita fuliwa kipindi hiki si unajua money maker.
Kama watanzania wote wangekuwa kama ewe basi nafikiri watu wasingekuwa wanadaiana na ule mpango wa kubadilisha njia kisa deni usingekuwepo
 
Mkuu nashukuru sana kwa kutimiza ahadi yako nafikiri ule mpango wetu utakamilika na nguo zita fuliwa kipindi hiki si unajua money maker.
Kama watanzania wote wangekuwa kama ewe basi nafikiri watu wasingekuwa wanadaiana na ule mpango wa kubadilisha njia kisa deni usingekuwepo

hawajui raha ya deni kulipa
 
kama unamchumba na anakupenda na unauhakika na future nae basi ucjihusishe na uhusiano mpya! hz changamoto pia zipo hadi ndani ya ndoa maana kumuweka kwenye mzani na mchumba ako obvious kuna dalili ya usaliti hapo!
 
Alfu mwisho wa siku mnakuja kulalalamika hapa oohh mpenzi wangu hanijali oh mapenzi yananitesa nyokonyoko nyingi!,wewe unajijua una mpenzi/wako mchumba wako hw cone unakuwa close na mwanaume mwingine kiasi cha kila siku usiku lazima muongee na mengineyo,huyo anaweza akawa hana mapenzi ya kweli na ww may b amekutamani tu onetime,coz hajakugegeda,so ana hamu na ww,ila huyo ambae ashakugegeda na still anaweza kukuangalia machoni kukutamkia i love you huyo ndo ana mapenzi ya kweli,by the way maamuzi ni yako either kuharibu future yako au kuijenga.

kweli kabisa hata mimi kankera anataka tumshauri upuuz anadhani kila mtu ni kicheche mwenzake yani amsaliti jamaa wa watu bila kosa lolote hajui huo ni mtihani tu?ndo hivi baadh wachaga walivyo si bure ukute huyo mchumba wake hata baskeli hana ndoo maan anajifanya eti kavutiwa na mchumba wa mtu si aseme tu kapenda pesa za jamaa wa jf??mshenz wa tabia wew
 
ukiwa nae mwimbie huu wimbo

If my love wasn't here with me tonight
I would leave with you for just a little while
But I love him the same way as I love you now
And I'm sorry I can't be with you tonight

Though I want to hold you in my arms tonight
I wouldn't take the chance 'cause it won't be right
Maybe when we meet again some other time
'Cause tonight I'll only share my love with him


So please understand my situation
I love you but I cannot be with you
If I could be in two places at the same time
Believe me, I would share my love with you


So please understand my situation
I love you but I cannot be with you
If I could be in two places at the same time
Believe me, I would share my love with you

Believe me, I would share my love with you
Believe me, I would share my love with you
Believe me
 
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....

Asante umeniwahi best,
Alisema ana mume kwny huo uzi anafikiri tumesahau
 
Back
Top Bottom