Katika thread hii hapa chini umejitabanaisha kwamba una mume na una ndoa ya miaka saba...
https://www.jamiiforums.com/mahusia...1-kuolewa-rahaaaaaaaa-kuzaa-nako-utamuuu.html
Nanukuu:
eeeh, 0Š4'est lavie!
Kwa leo naishia hapa ila nasubiri majibu mazuri toka kwako bi mkubwa...
Tujaribu kujenga MMU yenye ukweli na uwazi...
hahahahah!!! shemeg watu8 una tofauti gani na kifimbo cheza? khaaaaa!!! mi nakuogopa sahv maana ushakuwa mtambo wa kurekebisha wazushi jf.
Ana ndinga gani Mark X,Verossa au kama ya Daimond..................................?Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!
bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana
Good Job Mpwa. Tuwasiliane
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html
Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...
Nanukuu:
Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...
Nanukuu:
Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?
Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.
Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....
Kwa leo naishia hapa ila nasubiri majibu mazuri toka kwako bi mkubwa...
Tujaribu kujenga MMU yenye ukweli na uwazi...
Kamata Mwizi Meeeen.....Hongera sana Mfukunyuku wetu kwa kufukua.....uliniacha hoi ulivyomwumbua yule mkenya aliyekopi Facebook kwenye thread ya kugoma kumfulia pichu mmewe!