Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kwamba davina = Mankaa

Kumamae.

Police-02-june.gif
 
1) je unatambua ni kitu gan unataka upate ktk hayo mahusiano mapya ambacho ulikua hupat?
2)je ukimpata jamaa utatulia au ukichat na mwingne tena utahama?

"afadhali shetan umjuae kuliko malaika usiemfaham"
 
Kuna watu wanaboa na hizi stori zao za kusikia mitaani yani mtu asisikie kajambo huko mtaani tayari kesha kimbia kuja kuanzisha uzi humu, halafu bora basi uandike lakini ionekane haikuhusu wewe.
Ona sasa aibu inayokupata ukiwa mwogo usiwe msahaulifu Mankaa

Nakumbuka siku hiyo nilijipinda kuandika eti natoa ushauri kumbe stori ya uongo >>.yeroo.. nimeuzika sana mpaka mori imepanda.!!!!!
 
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....

Khaaa!!!! Mkuu nimekuinulia mikono!! Kwa kutindua thread za nyuma upo vizuri!!! Nadhani siku nyingine kabla hajapost thread yoyote atafanya mapitio ya nyuma kwanza asije akaumbuka!!!
 
Huyu mchaga kakimbia tuhuma, wewe Mankaa kuja huku ujibu mashitaka yako, tunasubiri utetezi wako wewe njoo utudanganye danganye tu tutakuelewa.
 
huu utaratibu wa kupotezeana muda sio mzuri....ndo maana wengine inabidi tuchat tu manake hakuna mtu aliye serious

Kucopy post za watu wengine kutoka blog nyingine au Facebook na kuleta hapa bila kusema sio tabia nzuri...wengine tunakuwa tumeshacomment huko huko

CC watu8 Fixed Point nadhani tunahitaji policy ya hii makitu...copy paste bila proper acknowledgement iwe ina attract ban ya wiki
 
Last edited by a moderator:
nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa jf ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....
ahsnte watu nane ,analeta utoto humu ndani.......ny..ko yake!
 
Mkuu watu8 umemaliza.Huyu anafikiri humu kuna pimbi kama yeye!
 
Last edited by a moderator:
Ahaaa wewe utakuwa ndo huyo ulokutana na Mankaa,kwann unatetea upuuzi??
Sijasema ni mwisho wa hisia,Ukishakuwa na committment(uchumba/ndoa) lazima ujifunza kucontroll hisia zako au utakuwa mzinzi.....Kwanza kitendo cha yeye kuongea na mwanaume mwengine mpaka kuonana nae angali yupo kwenye mahusiano tayari kimenifanya nimuweke kwenye "BLACK LIST",hajiheshimu wala hajitambui na ana tamaa!!Kama hana furaha katika ndoa/uhusiano wake atafute suluhisho kwanza kabla hajaangukia pua.....
NANUKUU HAKUNA URAFIKI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME......MTAKUJA KUTAMANIANA TU NA NI NATURE!!

Sidhan kama no kweli unachokiongea ndugu Yang
2nd kama kwako hakuna urafiki Wa mwanaume na mwanamke usilazikishe kwa wrote
3rd relationship zina mazingira tofauti kea the way unavyojudge mambo sijui kama MTU akisema wana open relationship utamuelewa
All am saying is if u wanna be safe we HV to learn now to control our emotions but blv me smtimes ts more than hard to be in control for athng that u can't touch or taste
Kama una ushauri MPE but don't disrespect her judgement
 
Last edited by a moderator:
Bi dada utakosa mwana na maji ya moto ujue. Kweli mapenzi kizunguzungu
 
huu utaratibu wa kupotezeana muda sio mzuri....ndo maana wengine inabidi tuchat tu manake hakuna mtu aliye serious

Kucopy post za watu wengine kutoka blog nyingine au Facebook na kuleta hapa bila kusema sio tabia nzuri...wengine tunakuwa tumeshacomment huko huko

CC watu8 Fixed Point nadhani tunahitaji policy ya hii makitu...copy paste bila proper acknowledgement iwe ina attract ban ya wiki
nadhani wahusika watashughulikia....
kweli rafiki inaudhi sana.
mtu unajipinda kutoa suluhu kumbe mwenzia anakuchora tu, si ajabu hata comments harudi kusoma
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

We manka wee usiache mbachao kwa msala upitao....tchao
 
Back
Top Bottom