Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Kuna mkaka kanivutia humu MMU

Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

Mankaa..bila shaka wewe mchaga kama sio wa kibosho bas wa machame napata mashaka umevutiwa na muonekano wa huyo jamaa kwa nje tu kikubwa unaangalia uwezo wake ndo maana umempenda ila elewa ktk maisha yako hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya usaliti,utajuta kuolewa na huyo jamaa aliyekuvutia kwa masaa,TAKE CARE dumisha penz lako la mda mrefu achana na tamaa za mda mfupi
 
Mimi niseme tu kwa wale ambao hawajafikia huko...kwa wanaume wenzangu tusijaribu kutongoza mwanamke mwingine kwa sababu tunaweza kuwa tunamtamani tu au ilikuwa kwa kujaribu tu halafu tukajikuta tunawaumiza wapenzi wetu tunaowapenda kweli. Kwa wanawake msipende ukaribu na mwanaume wakati una mwanaume wako, unaweza ukajikuta unampenda na ndio ikawa mwanzo wa kucheat. Guys lets be careful.
 
Umri wako kwanza? Maana haingii akilini mpaka sasa bado unawapanga mpenzi wako na huyo wa JF,,hujaolewa hata kidogo una mawazo ya kuDate tuu jiangalia kwanza unaelekea wap na unafanya nini?
Pili nimekuona huna msimamo wa mapenzi na bwana ako kala hasara, km huyo wa pili wa JF anampango wa kukugegeda tu unafkiri m/ume gani mjinga awe na ww huku anajua ulikuwa na mtu ukamsaliti? Halafu ameingia na gear anaenda kwenu na yuko tayari kwa lolote?

Mwisho kabisa ridhika na mpenzi wako huku ukiangalia MTANDAO WA NGONO.
 
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....

Mmmmmhh! na mimi wasi wasi wangu ndo huo anatuzingua tu
 
humjui huyo kaka mwingine kiundani zaidi i think unahitaji muda zaidi kumfahamu ndio utaweza kufanya maamuzi kwa sasa zinaweza kuwa ni hisia za muda mfupi baadae waweza kurealize hukuwahi kumpenda huyo wa Jf.
 
Habar zenu hop mko gud
okay katika chat chat zangu humu c nkakutana na jamaa mmoja tukawa tumeelewana sana
tukachage namba basi daily lazma tuongee yan silali bila kusikia saut yake nae halali bila kunisikia (apo mie nina mchumba wangu) nae ana wake!

bas tukapanga kuonana ye anakaa mbali kdg na nilipo mkaka wa watu huyo kajaza mafuta huyoo mguu kwangu
akafika zake hotel akanialika for diner
nikajikwatua mtoto wa kike
mie hyo had nlipoelekezwa kufika kuonana na yule mkaka oooh my God it was suprz ckuamn nilivutiwa sana na muonekano wake na yy akafurah sana kuniona
tukakaaa story tukapata diner vinywaj fresh
Kwa muda mfupi niliokaa na yule mkaka nulijikuta nimempenda na yeye pia alinambia amenipenda yupo radh kwa lolote he dnt care!ananihitaji
Niliinjoy sana kwa kweli tulivyoagana dah acha tu ilikuwa majonzi sasa nipo njia panda jamaa ananiambia anataka kwenda nyumbani kwetu kwa gharama yyte
nipen msaada wenu mchumba wangu nampenda na huyu mkaka wa jf nimempenda tena sana

Je mlifanya? maana isije ikawa hotel na kudo... kumekupagawisha. Mchumba mkae muda msomane? ni kipi alichonacho zaidi ya wa kwanza ? na bado hujampata wa tatu huyo kibiko yao! ila uchumba sio ndoa unaweza ku call off any time !!!! sio dhambi hata kidogo!!!
 
Afu we Jamaa bhana!!! Mbaaaaya... Thanks kwa hili.
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....
 
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....

Kamata Mwizi Meeeen.....Hongera sana Mfukunyuku wetu kwa kufukua.....uliniacha hoi ulivyomwumbua yule mkenya aliyekopi Facebook kwenye thread ya kugoma kumfulia pichu mmewe!

Ushauri wa bure kama kisa ni cha kusimuliwa weka wazi kuwa umesimuliwa sasa kuvaa uhusika mara leo una mchumba mara juzi ulikuwa umeolewa sasa weka basi na ya kuachika ili tujue ni ndoa ya 2 au ya 3!!

 
Nukuu hii hapa chini nimeitoa katika thread yako ya karibuni...

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/590805-alichonifanyia-mdogo-wangu-naumia.html

Katika thread hiyo ulitueleza kuwa umeolewa, una mume na namna mdogo wako alivyoiweka ndoa yako matatani...

Nanukuu:



Lakini leo tena naona unatueleza kuwa una mchumba, lakini umekutana na mkaka wa JF ambaye umevutiwa naye na yeye kavutiwa nawe...

Nanukuu:



Sasa bi mkubwa, huku kama si ni kucheze akili na muda wetu?

Nahisi utajitetea kama wanavyojitetea wengine kuwa katika thread ya mwanzo hakikuwa kisa kinachokuhusu, lakini uliamua kutumia nafsi ya kwanza umoja.

Hebu tuletee utetezi wako bi mkubwa....

well said
 
Back
Top Bottom