Kuna michepuko ni takataka kabisa

Kuna michepuko ni takataka kabisa

Aaah wapi, Huyu mwanamke tamthilia za kifilipino zinamdanganya Sana.

Anajikuta wa muhimu Sana kuliko MKE wangu, tena anatengeneza mazngira kunipima kati ya wife na yeye ntaegemea upande upi.

Asichojua ni kwamba,
Wife Ni muhimu Sana kuliko yeye.

Yeye ukiondoa TU icho kidudu chake, Hana Cha ziada kuoffer kwenye maisha yangu.
Kwan mkeo hana kidudu
Yeye anaona kidudu chake kina dhaman kuliko cha mkeo ndiyo maana ulimfuata
Na bado hadi ujambe upepo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwani mahusiano Ni biashara mkuu,
Kias kwamba aangalie maslahi yake TU?
Ndio mahusiano na mchepuko ni biashara na siyo upendo, tena kama wewe unayempotezea muda huyo hutaki azae wala aolewe unamtumia tu ndio kabisa unatakiwa kumhudumia bila kutegemea zuri lolote kutoka kwake, ndio maisha uliyoyachagua hayo kubaliana na yote maana unayaendekeza mwenyewe
 
Usimlalamikie huyo mchepuko wewe ndio una matatizo. Unazijua vizuri tabia zake na ushasema mwenyewe huwezi kumuacha hivyo wacha aendelee kukutundika matukio mpaka siku yakushinde ujiondoe mwenyewe.
 
Aaah wapi, Huyu mwanamke tamthilia za kifilipino zinamdanganya Sana.

Anajikuta wa muhimu Sana kuliko MKE wangu, tena anatengeneza mazngira kunipima kati ya wife na yeye ntaegemea upande upi.

Asichojua ni kwamba,
Wife Ni muhimu Sana kuliko yeye.

Yeye ukiondoa TU icho kidudu chake, Hana Cha ziada kuoffer kwenye maisha yangu.
We jamaa una mambo ya ajabu sana, sasa kama unajua mkeo ni muhimu si utulie naye, kwani hicho kidudu mkeo hana
 
Sio dhaifu ni mpuuzi. Hakuna mwanaume kamili, Rijali, Ngangari na Hardcore atapelekeshwa na Mwanamke hivi. Sio Mchepuko tu hata mke ndani ya nyumba hawezi kumuyumbisha na kumpelekesha hivi. Sasa Mchepuko tu anampanda na kumnyea kichwani alafu anakuja kulialia huku JF. Hakuna mwanaume kamili hapa. Hapa kuna wamama wawili ndio maana wanachambana. 😅😆😁😄😃😀
Inabidi jamaa akubali kuwa, anapelekeshwa na K ya moto 😂
 
Wanawake wote Hawa barabarani eti nikapige puli ili nigundue Nini hasa?

Puli tuwaachie vijana wanaobalehe maana kwa Rika lao, kimaadili na kisheria hawastahili kuzitafuna mbususu
Unapelekeshwa na K ya moto 😂😂
 
Kikawaida uwa namhudumia kila Siku iendayo kwa Mungu, ikitokea Niko mbali namwambia atumie pesa zake, nkirud ntamrejeshea. Na Huwa nafanya hivyo mara kwa Mara,na yeye analitambua hilo.

This time,
hii situation imenikuta kipind namuuguza wife. Na wife wangu akiumwa kdg TU akili yangu inavurugika kabisa, maana she's my everything kuanzia malezi ya familia Hadi ustawi wa uchumi wangu kiujumla.

Kinachonikera kwake sio pesa alizoomba,
Ni jins gan alivyoshindwa kuthamini Wala kujali suala la mke wangu kuumwa na taarifa nmempa.

Hata salamu Wala kuuliza anaendeleaje hamna, anadai TU pesa zake.

Huu Ni ukosefu wa utu uliopitiliza
Katika pituitary zako na wanawake tofauti, umewahi kukutana na mcheps anayejali welfare ya familia yako? I mean, wewe ni mzoefu wa hizi mambo, kuna Ke wa pembeni anajali maisha yako binafsi bila kuangalia mfuko wako?
 
Ni hivi,
Ijumaa baada ya kufunga duka nlkua nna ratiba ya kwenda kwake, ghafla nikapewa taarifa MKE wangu kakimbizwa ghafla hospitali, analalamika Tumbo linaamuuma sana.

Kanipigia kuniuliza "vipi mbona ufiki"
Nikamtaarifu sitoweza kuja kwako, niko njiani naelekea hospitali, mke wangu kakimbizwa ghafla. Nashangaa ananitumia sms za kipumbavu, nikaona asije niharibia Siku, nikapata ajali barabarani, sikuzijibu sms zake.


Baadae kanipigia Akisema "Sasa Ni pesa ya matumizi vipi, hamna chochote cha kupika uku? "

Nikamwambia "nenda Duka la mangi Apo jirani, akakupe vitu unavyohitaji vya kupika, nkija ntamlipa pesa yake". Baadae kanirudishia mrejesho kua kamkuta mkewe, kasema hakopeshi.

Nikamwambia, Basi tumia balance yako, nunulia vitu vyote vya kupika, utanipa hesabu Kisha ntaifidia nikija uko kwako. Kasema sawa.

Tangu juzi sijakwenda kwake wala kumpigia Simu, nmetuliza akili namuuguza wife kwanza.

Leo ananiuliza hivi namchukuliaje,
Hata Salam kuulizia tu mgojwa niliemtaarifu anaumwa kapelekwa hospitali ghafla anaendeleaje, hamna.

Anachoulizia direct Ni pesa zake za matumizi nilizoahidi ntafidia baada ya kuzitumia kugharamia chakula chake mwenyewe.

HUYU MWANAMKE HANA UTU, UBINADAMU WALA USTAARABU KABISA
Sasa mkuu unatulalamikia tukusaidieje?
Pisi umeisaka mwenyewe, umeichakata vya kutosha mpaka kuboa. Sasa maugomvi yenu yanatuharibia mood na michepuko yetu waaminifu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom