Kuna michepuko ni takataka kabisa

Kuna michepuko ni takataka kabisa

Nilidhani ni mimi pekee ninaekutanaga na ishu kama hizi. Pole sana mkuu kwa michepuko kichwa mbovu.
Kuna Watu wamebahatika michepuko yao haiwasumbui, wanaona wenzao Kama hatuna akili vile
 
Kuna Watu wamebahatika michepuko yao haiwasumbui, wanaona wenzao Kama hatuna akili vile
Tena wengine wanajisahaulisha kama na wao wanamichepuko, eti ni wema kwa wenzi wao. Hahahaaaa..... Jf kuna mambo.
 
Yaani pesa ni zangu, nazitafuta kwa jasho langu, eti jitu from nowhere linifokee kunilazimisha nizitumie pesa zangu ili kutimiza mahitaji yake! Aisee huyo labda sio mimi, vinginevyo nimerogwa.

Afu kuna watu sijui wakoje, yaani wanapenda sana kujipa umuhimu mkubwa wasiokuwa nao kwenye maisha ya watu wengine.

Unashangaa jitu kukutanulia tu mapaja siku mbili tatu, tayari lishajipa hati miliki ya muda wako na uchumi wako, utadhani lina hisa yoyote kwenye harakati zako.

Hizi ni takataka kabisa, tena za kutupa dustbin haraka sana.

View attachment 2838659View attachment 2838661View attachment 2838663View attachment 2838664my
my friend, mwanamke kuwa tu mchepuko, ni kupoteza akili yote. hajawahi kutokea mwanamke mchepuko mwenye akili hata mmoja. we angalia hata wanawake waliozaa na waume za watu, ni machizi, na huwa anaamini ana haki ya kupendwa kuliko mwenye mali. hata hivyo wanaume tunatakaga tu sisi wenyewe kufokewa, kweli unaanza kushushiwa heshima na mchepuko wakati wife kajaa tele nyumbani? na usikute hapo mwanaume ni 40s hako kamchepuko ni 20s. Mwanaume kauza utu wake wote kwa kischana kama icho.
 
Aaah wapi, Huyu mwanamke tamthilia za kifilipino zinamdanganya Sana.

Anajikuta wa muhimu Sana kuliko MKE wangu, tena anatengeneza mazngira kunipima kati ya wife na yeye ntaegemea upande upi.

Asichojua ni kwamba,
Wife Ni muhimu Sana kuliko yeye.

Yeye ukiondoa TU icho kidudu chake, Hana Cha ziada kuoffer kwenye maisha yangu.
Sasa si usepe tu. maana kila siku ni drama na wewe umenasa tu hapo unangoja nini ? akuloge au
 
Kikawaida uwa namhudumia kila Siku iendayo kwa Mungu, ikitokea Niko mbali namwambia atumie pesa zake, nkirud ntamrejeshea. Na Huwa nafanya hivyo mara kwa Mara,na yeye analitambua hilo.

This time,
hii situation imenikuta kipind namuuguza wife. Na wife wangu akiumwa kdg TU akili yangu inavurugika kabisa, maana she's my everything kuanzia malezi ya familia Hadi ustawi wa uchumi wangu kiujumla.

Kinachonikera kwake sio pesa alizoomba,
Ni jins gan alivyoshindwa kuthamini Wala kujali suala la mke wangu kuumwa na taarifa nmempa.

Hata salamu Wala kuuliza anaendeleaje hamna, anadai TU pesa zake.

Huu Ni ukosefu wa utu uliopitiliza
You are stuck in toxc relationship and you like it 😀 😎
 
mkuu utamu wa mama j umezidiii 😀 😀
🤣
Jamaa mwenyewe anakiri utamu anaoupata ni "the best"

Hapo inakuwa ngumu kumuacha, au kutafuta mwingine. Maana kila akiwaza utamu, anajiuliza ataupata wapi utamu mzuri kama ule. Yaani anaweza akapata mchepuko mwingine ila ishu je K yake itakuwa tamu kama ya majay au zaidi yake?
Sio kweli,nishakutana nazo nyingi,Hii ya kwake Ni the best
 
Michepuko inakua na msaada tu pale inapokuwa ni tiba ya stress za ndani,ila inabadilika kuwa sumu ikianza kuwa stress generator.Kimsingi usitegemee mchepuko atajali afya ya mkeo sababu kifo cha mkeo kinaweza kuwa faida kwake,Alicho nacho huyo mchepuko wako ni kutokuwa mnafki hata kidogo.Mi siwezi kumuongezea round hata dk mchepuko anayenipa stress unless kuna kitu kikubwa cha ziada tukiacha mapenzi napata toka kwake.
 
Wewe tulia na mke wako wacha kuhangaika mzee, maisha hayataki mbwembwe ......... siunaona unavyoteseka sasa kuja kutuletea uzi wa umbea wa kugombana na mchepuko wako, hii ni kwasababu huwezi hata waeleza washkaji wakakuelewa. Chamsingi we tulia tu na mama na utapata baraka mingi balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom