Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,767
- 17,800
Ndogo kwani 😂😂😂 halafu kutwa wanasema wanawake hatujui tunataka niniMna kazi sana. Poleni
Ndogo kwani 😂😂😂 halafu kutwa wanasema wanawake hatujui tunataka niniMna kazi sana. Poleni
Hawa kaka zetu wanahitaji maombiNdogo kwanihalafu kutwa wanasema wanawake hatujui tunataka nini


😁😁 sio hata kazi ni harakati za pimbi tu.Mna kazi sana. Poleni
Ya nini tena? Kulalamika?Hawa kaka zetu wanahitaji maombi![]()
Kwel kabsa mkuu, ila mchepuko upewe zile chenji tu zinazobaki baada ya matumizi.Tujue kutofautisha kuwajibika na matatizo ya kujitakia. Umeoa kula, kuvaa, kulala kwa familia yako ni wajibu wako, watoto kwenda shule ni wajibu wako. Lakini kuchunwa na michepuko ni matatizo ya kujitakia
Pimbi ni abdala kichwa wazi , tatzo sisi wanaume maamuzi yanafanyika baada ya mabishano makali kati ya vichwa viwil.😀 😀 😀 😀kwamba pimbii
sio hata kazi ni harakati za pimbi tu.

ndio muache kulalamika yakiwakuta muwe mnaishi nayo kimya kimya.Tatzo maamuzi yanafanywa na kichwa kingine na malalamiko yanafanywa na kichwa kingine .ndio muache kulalamika yakiwakuta muwe mnaishi nayo kimya kimya.
Mbona hapa unaonekana ni alpha male lakini kwenye chats unaonekana boya TU!Ni hivi,
Ijumaa baada ya kufunga duka nlkua nna ratiba ya kwenda kwake, ghafla nikapewa taarifa MKE wangu kakimbizwa ghafla hospitali, analalamika Tumbo linaamuuma sana.
Kanipigia kuniuliza "vipi mbona ufiki"
Nikamtaarifu sitoweza kuja kwako, niko njiani naelekea hospitali, mke wangu kakimbizwa ghafla. Nashangaa ananitumia sms za kipumbavu, nikaona asije niharibia Siku, nikapata ajali barabarani, sikuzijibu sms zake.
Baadae kanipigia Akisema "Sasa Ni pesa ya matumizi vipi, hamna chochote cha kupika uku? "
Nikamwambia "nenda Duka la mangi Apo jirani, akakupe vitu unavyohitaji vya kupika, nkija ntamlipa pesa yake". Baadae kanirudishia mrejesho kua kamkuta mkewe, kasema hakopeshi.
Nikamwambia, Basi tumia balance yako, nunulia vitu vyote vya kupika, utanipa hesabu Kisha ntaifidia nikija uko kwako. Kasema sawa.
Tangu juzi sijakwenda kwake wala kumpigia Simu, nmetuliza akili namuuguza wife kwanza.
Leo ananiuliza hivi namchukuliaje,
Hata Salam kuulizia tu mgojwa niliemtaarifu anaumwa kapelekwa hospitali ghafla anaendeleaje, hamna.
Anachoulizia direct Ni pesa zake za matumizi nilizoahidi ntafidia baada ya kuzitumia kugharamia chakula chake mwenyewe.
HUYU MWANAMKE HANA UTU, UBINADAMU WALA USTAARABU KABISA![]()
hahhahaah mchicha wa 100, mafuta ya 100 na kitunguu cha 50 vikoje?Kwani hapo shida nini mkuu?
-Unga robo: 500
-Kitunguu kidogo: 50
-Mchicha: 100
-Mafuta :100
-Maharage : 500
-Nyanya: 200
Total inakuja 1450. Si yeye shida ni kitu cha kupika!? Mkaa au gesi ilikuwepo,maji na vitu vyote vilikuwepo. Mtumie mchanganuo huo na mtumie hiyo hela. Isizidi hiyo tafadhali.
Uone kama kesi haitaisha