Kuna michepuko ni takataka kabisa

Kuna michepuko ni takataka kabisa

Kwani hapo shida nini mkuu?
-Unga robo: 500
-Kitunguu kidogo: 50
-Mchicha: 100
-Mafuta :100
-Maharage : 500
-Nyanya: 200

Total inakuja 1450. Si yeye shida ni kitu cha kupika!? Mkaa au gesi ilikuwepo,maji na vitu vyote vilikuwepo. Mtumie mchanganuo huo na mtumie hiyo hela. Isizidi hiyo tafadhali.
Uone kama kesi haitaisha
 
Tujue kutofautisha kuwajibika na matatizo ya kujitakia. Umeoa kula, kuvaa, kulala kwa familia yako ni wajibu wako, watoto kwenda shule ni wajibu wako. Lakini kuchunwa na michepuko ni matatizo ya kujitakia
Kwel kabsa mkuu, ila mchepuko upewe zile chenji tu zinazobaki baada ya matumizi.
 
Asa wewe unataka awe na utu upi wewe mwenyewe huna utu ungekuwa nao usingemsaliti mkeo

Halafu unategemea nini kwa mchepuko haswa et ajali mkeo ili iwejee wewe mwenyewe humpendi mamajay halafu yeye ndio ajifanye mnafki

Uliona wapi mchepuko ana utu na mkeo… wewe mlipe pesa yake
 
Ni hivi,
Ijumaa baada ya kufunga duka nlkua nna ratiba ya kwenda kwake, ghafla nikapewa taarifa MKE wangu kakimbizwa ghafla hospitali, analalamika Tumbo linaamuuma sana.

Kanipigia kuniuliza "vipi mbona ufiki"
Nikamtaarifu sitoweza kuja kwako, niko njiani naelekea hospitali, mke wangu kakimbizwa ghafla. Nashangaa ananitumia sms za kipumbavu, nikaona asije niharibia Siku, nikapata ajali barabarani, sikuzijibu sms zake.


Baadae kanipigia Akisema "Sasa Ni pesa ya matumizi vipi, hamna chochote cha kupika uku? "

Nikamwambia "nenda Duka la mangi Apo jirani, akakupe vitu unavyohitaji vya kupika, nkija ntamlipa pesa yake". Baadae kanirudishia mrejesho kua kamkuta mkewe, kasema hakopeshi.

Nikamwambia, Basi tumia balance yako, nunulia vitu vyote vya kupika, utanipa hesabu Kisha ntaifidia nikija uko kwako. Kasema sawa.

Tangu juzi sijakwenda kwake wala kumpigia Simu, nmetuliza akili namuuguza wife kwanza.

Leo ananiuliza hivi namchukuliaje,
Hata Salam kuulizia tu mgojwa niliemtaarifu anaumwa kapelekwa hospitali ghafla anaendeleaje, hamna.

Anachoulizia direct Ni pesa zake za matumizi nilizoahidi ntafidia baada ya kuzitumia kugharamia chakula chake mwenyewe.

HUYU MWANAMKE HANA UTU, UBINADAMU WALA USTAARABU KABISA
Mbona hapa unaonekana ni alpha male lakini kwenye chats unaonekana boya TU!
 
Juzi nilienda kwenye utafutaji nikapigwa sana mvua. Nikawaza kama hivi, yaani nanyukwa mvua hivi halafu anakuja k mmoja ananifokea anataka hela
 
Kwani hapo shida nini mkuu?
-Unga robo: 500
-Kitunguu kidogo: 50
-Mchicha: 100
-Mafuta :100
-Maharage : 500
-Nyanya: 200

Total inakuja 1450. Si yeye shida ni kitu cha kupika!? Mkaa au gesi ilikuwepo,maji na vitu vyote vilikuwepo. Mtumie mchanganuo huo na mtumie hiyo hela. Isizidi hiyo tafadhali.
Uone kama kesi haitaisha
hahhahaah mchicha wa 100, mafuta ya 100 na kitunguu cha 50 vikoje?

teh teh teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom