Kuna mambo ukifatilia kwenye usafi ni kama kinyume chake

Kuna mambo ukifatilia kwenye usafi ni kama kinyume chake

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Hapa na zungumzia usafi wa kuoga na kutumia mafuta.

Ukiangalia kwa jicho la tatu yani una toa uchafu ulicho kitumia na uchafu wako kisha unajipaka uchafu.

Mafuta tunayopaka unakuta yame changanywa na maziwa,mafuta yametoka vyanzo vya leo tuna tumia kwenye vyombo vya moto,wanyama,matunda.

Swali kifikra unaweza ukachukua maziwa hapo ukajipaka kama utakubari.
 
Hii ni pseudo-intellectual talk.

Maziwa, miti na matunda vikichakatwa vinakuwa bidhaa mahsusi kwa ngozi siyo uchafu.
Chanzo cha mafuta siyo hoja, mchakato wa kuandaa ndio hoja.

Umewahi kukaa hata mwezi mmoja bila kupaka mafuta na ngozi yako haiukauka au haikupasuka.

Kuyaita mafuta uchafu ni kuchanganya falsafa za kubuni na sayansi ya msingi.
Unacho paswa kukiosha hapa si ngozi.
Ni hizo fikra.
 
Hii ni pseudo-intellectual talk.

Maziwa, miti na matunda vikichakatwa vinakuwa bidhaa mahsusi kwa ngozi siyo uchafu.
Chanzo cha mafuta siyo hoja, mchakato wa kuandaa ndio hoja.

Umewahi kukaa hata mwezi mmoja bila kupaka mafuta na ngozi yako haiukauka au haikupasuka.

Kuyaita mafuta uchafu ni kuchanganya falsafa za kubuni na sayansi ya msingi.
Unacho paswa kukiosha hapa si ngozi.
Ni hizo fikra.
Kwa hiyo fikra uweza kuziaminisha kilichopo kinaweza kutumika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom