Kuna mambo hutokea katika Uhusiano ujue mwenzi wako ni mtu wa namna gani. Huyu wangu nimegundua hana akili

Bado niko hapa nasubiri komenti za wananzengo
Screenshot_20221003-150930~5.jpg
 
Ni jambo baya ila naweka pia na wengine wajifunze. Wakati mwingine usitake sana kumridhisha au kumfurahisha mwenzio. Usitake kuvumilia sana tabia ambazo unajua si sawa kwa kigezo cha mapenzi.

Huyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto. Mumewe alifariki. Lakini kama ambavyo nliandika uzi jana. Sisemi single mothers wote wapo hivi ila huyu wangu ni kilaza. Nlimuamini sababu ana degree alimaliza CBE na ni dada mzuri wa sura , umbo na rangi. Nlidhani pia kwa kufiwa na kuwa na mtoto angekuwa matured. Bado ana upumbavu mwingi kichwani.

View attachment 2866044View attachment 2866046View attachment 2866048View attachment 2866049
hakika mtu ambae hana akili ni wewe
 
Ila kwa hizi conversation kama ni real hapo hakuna mtu , atakutesa wakati yeye anaona wewe unamtesa , Yani hata kama hujasoma sms zote ukisoma ya kupangiwa nyumba tu 300k unaona hapo hivi kichwa RIP

Yani hiyo 300k imenifanya nimekasirika ghafla nikasonya kumbe jirani kanisikia akajua namsonya yeye
Hapo ndo utagundua kwanini wachaga tuligundua kusema "Yesu na Maria"
 
Wachangiaji wengi Ni wa binafsi Sana hapa wanaungana na huyu psychopath , mwenye shida ya Akili na ubinafsi mwingi
Angekuwa mwanao ungesema apelekwe kwa bibi yake? Jibu ni hapana.
Nakumbuka kuna siku mwenzangu alienda kazn mm nipo home mtoto mkubwa tu kama miaka 4 Akaenda karuharibu mazingira, karbu na bara bara akachafua mazingira nikaskia Naitwa na mrembo mmoja , baba fulan. .....njoo uone mwanao alicho Fanya nikafika nikapasafisha, na kajasho la aibu😄. nikamwosha nikatulia zangu kimya.
Siku mchapa ila Baada siku kazaa akaaza kupenda kwenda chooni bila kushurtishwa hivyo upendo ni Mzuri.
Mimi kinyesi Cha mwanangu huwa naona kama hakina harufu.
Huyo mtoto ulimchukia kwasababu siyo wako.
Ukweli ulimtamani Huyo mwanamke Baada ya kimchoka ukaanza kuonyesha Rangi halisi uliyo nayo.
Kwa Masuala ya mtoto una roho mbaya Sana naungana naye na huku
Unajiona ulitenda wema ...ukisha mlala mwanamke kola unachomfanyia siyo wema hata ukijanga kwao ni fadhila ya unyumba wake.
Jifunze upendo acha roho mbaya na kiburi.
 
Sasa kwani uwongo....wee ulionaga wapi mechi inaanza 1-0

Tusilete ujuaji mwingi hapa single mothers watamu ila kuwa date kuna changamoto nyingi ambazo u can do without kama ukichukua demu ambaye wee ndio unaanza kuweka kitu kwa oven.

Wee kama unaona utawezana na hizo changamoto sawa. Ila sio waja lalamika hapa na wakati tulishawaambia.

Wee ukitaka kujua hawa single maza wahuni, wao hawataki kabisa mtoto wao wa kiume aoe single maza. So they know its never a virtue being a single maza but wanajitia uwazimu tuu hapa
Nimekuelewa sana bro
 
Wachangiaji wengi Ni wa binafsi Sana hapa wanaungana na huyu psychopath , mwenye shida ya Akili na ubinafsi mwingi
Angekuwa mwanao ungesema apelekwe kwa bibi yake? Jibu ni hapana.
Nakumbuka kuna siku mwenzangu alienda kazn mm nipo home mtoto mkubwa tu kama miaka 4 Akaenda karuharibu mazingira, karbu na bara bara akachafua mazingira nikaskia Naitwa na mrembo mmoja , baba fulan. .....njoo uone mwanao alicho Fanya nikafika nikapasafisha, na kajasho la aibu. nikamwosha nikatulia zangu kimya.
Siku mchapa ila Baada siku kazaa akaaza kupenda kwenda chooni bila kushurtishwa hivyo upendo ni Mzuri.
Mimi kinyesi Cha mwanangu huwa naona kama hakina harufu.
Huyo mtoto ulimchukia kwasababu siyo wako.
Ukweli ulimtamani Huyo mwanamke Baada ya kimchoka ukaanza kuonyesha Rangi halisi uliyo nayo.
Kwa Masuala ya mtoto una roho mbaya Sana naungana naye na huku
Unajiona ulitenda wema ...ukisha mlala mwanamke kola unachomfanyia siyo wema hata ukijanga kwao ni fadhila ya unyumba wake.
Jifunze upendo acha roho mbaya na kiburi.
Siku yakikukuta ndio utajua kua ulikua hujui u achokijua.
 
Wachangiaji wengi Ni wa binafsi Sana hapa wanaungana na huyu psychopath , mwenye shida ya Akili na ubinafsi mwingi
Angekuwa mwanao ungesema apelekwe kwa bibi yake? Jibu ni hapana.
Nakumbuka kuna siku mwenzangu alienda kazn mm nipo home mtoto mkubwa tu kama miaka 4 Akaenda karuharibu mazingira, karbu na bara bara akachafua mazingira nikaskia Naitwa na mrembo mmoja , baba fulan. .....njoo uone mwanao alicho Fanya nikafika nikapasafisha, na kajasho la aibu. nikamwosha nikatulia zangu kimya.
Siku mchapa ila Baada siku kazaa akaaza kupenda kwenda chooni bila kushurtishwa hivyo upendo ni Mzuri.
Mimi kinyesi Cha mwanangu huwa naona kama hakina harufu.
Huyo mtoto ulimchukia kwasababu siyo wako.
Ukweli ulimtamani Huyo mwanamke Baada ya kimchoka ukaanza kuonyesha Rangi halisi uliyo nayo.
Kwa Masuala ya mtoto una roho mbaya Sana naungana naye na huku
Unajiona ulitenda wema ...ukisha mlala mwanamke kola unachomfanyia siyo wema hata ukijanga kwao ni fadhila ya unyumba wake.
Jifunze upendo acha roho mbaya na kiburi.
Hata ww huna stara kwann umesema moja kwa moja jamaa anaroho mbaya yaani mtoto wa miaka Saba tulale nae kweli we unaakili kweli... Yaan kweli sisi wanaume mungu atusaidie kama ndio wanawake kama Hawa dah
 
Wachangiaji wengi Ni wa binafsi Sana hapa wanaungana na huyu psychopath , mwenye shida ya Akili na ubinafsi mwingi
Angekuwa mwanao ungesema apelekwe kwa bibi yake? Jibu ni hapana.
Nakumbuka kuna siku mwenzangu alienda kazn mm nipo home mtoto mkubwa tu kama miaka 4 Akaenda karuharibu mazingira, karbu na bara bara akachafua mazingira nikaskia Naitwa na mrembo mmoja , baba fulan. .....njoo uone mwanao alicho Fanya nikafika nikapasafisha, na kajasho la aibu. nikamwosha nikatulia zangu kimya.
Siku mchapa ila Baada siku kazaa akaaza kupenda kwenda chooni bila kushurtishwa hivyo upendo ni Mzuri.
Mimi kinyesi Cha mwanangu huwa naona kama hakina harufu.
Huyo mtoto ulimchukia kwasababu siyo wako.
Ukweli ulimtamani Huyo mwanamke Baada ya kimchoka ukaanza kuonyesha Rangi halisi uliyo nayo.
Kwa Masuala ya mtoto una roho mbaya Sana naungana naye na huku
Unajiona ulitenda wema ...ukisha mlala mwanamke kola unachomfanyia siyo wema hata ukijanga kwao ni fadhila ya unyumba wake.
Jifunze upendo acha roho mbaya na kiburi.
Utoto raha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom