kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 2,866
- 7,156
Wakuu, salaam!
Ni muda kidogo sijaweka andiko hapa, lakini Mimi Ni msomaji mzuri wa hapa jukwaani!
Nilikuwa na mpenzi wangu kipindi Cha nyuma nikiwa nikiwa na miaka 21-24, Ni msichana tulietoka Kijiji kimoja, japo shule Ni tofauti! Mapenzi yetu yalianzia chuoni!Nilimpenda Sana , mapenzi yalishamiri Sana kipindi hicho tupo chuo, na nikiri wazi kuwa hata boom langu amelila Sana, achilia mbali kumsaidia kazi za kitaaluma!
Nikiri wazi, mm ndiye nilikuwa nampenda kuliko yeye alivyonipenda, Ni mtu flani Alikuwa ananata Sana, akishasema kitu amesema , pia mnaweza kuwa na outing akaja kui-cancell dakika za mwisho kisa Jambo la kijinga tu ! Kufupisha story hapa tulipitia ups na downs nyingi tu , tulishaachana Mara kadhaa lakini nakuwa mpole Tena tunarudiana! Na Ni mtu Alikuwa na dharau Sana, kidume najipinda namtoa kidizaini pesa ya kujikimu lakini wapi !!!
Tukamaliza chuo, tukarudi mtaani, hapa nilisota kidogo yeye akawa Kuna mahali anajishikiza japo kwa muda, dharau zikaanza , Mara hajibu sms on time , Mara WhatsApp hajibu (anasoma lakini anapotezea) , unaweza kumpigia Mara kadhaa asipokee baadae akija kuona simu Wala hakutafuti hata ile kinafki kwamba alikuwa busy,,,, tukaachana rasmi ,!!
Mimi nikabahatika kupata kazi mkoa mwingine , nilivyohama ndo chansi ya kumsahau kabisa, nilikuwa naambiwa tu habari zake kwamba kibarua kiliisha na yupo yupo mjini tu anaunga unga ,,,,(anadanga)
Tokea kipindi tunaachana miaka mitano imepita, juzi Kati kipindi covid 19 inapamba Moto nikaja kijijini kusalimia (mind that sio kwamba sijawahi kuja nyumbani Ni kwamba sikuwahi kuja nikamkuta, nahisi tulikuwa tunapishana ), sasa bwana nikaambiwa mchumba wako anamtoto (baadhi ya wanangu wa kitaa walikuwa wanayajua mahusiano yetu) !!
Eeeh bwana eeh nikafunga safari kwenda kwao na jamaa yangu kumsalimia na kumsabahi,,, kwao pana kiduka, nilimkuta yeye ndiye anauza hapo! si mnajua Ni Yale maduka (vioski) vya kijijin vinavyouza mahitaji muhimu tu,,,kwa haraka haraka hapawezi kuwa na mauzo ya 50k per day, labda 25-30!
Alivyoniona alihamaki Sana , hakutegemea na hatukuwa na mawasiliano , nikamkuta ana mtoto wa kike ana miezi 7(kwa mujibu wa maelezo yake) na Alikuwa kapauka mno, ile rangi ya biscuits haipo Tena, kavaa mgauni mkubwa sijui ndio wanaita madela, ziwa linaning'inia tu huko hana habari !! nikampa hongera kea kupata mtoto, akanikaribisha kwa aibu sana, full kujistukia akawa Hana amani kabisa, Mara anajiweka busy lakini wapi !
Nilienda na mshikaji wangu tukaagiza vinywaji akatuletea, tukanywa tukasepa, maana hata jamaa yangu aliniambia huyu Hana amani Bora tuondoke tu,,, akaniomba namba nikampa !
Yeye ndiye alianza kunitafuta maana sikuchukua namba zake, tukachati kidogo akaniomba niende kwake Tena lakini nikiwa peke yangu ! Nikaenda kesho kutwa yake, tukapiga story, akaanza kuongea kwa uchungu, machozi yanalenga lenga blah blah kibao, Mara nilikukosea Sana , mda huo namsikiliza tu, mwishoni nikamuambia kwa hio unasemaje ? Unataka turudiane ama ??
Akasema hpn, japo napenda ila mimi sio type yako Tena ! Akaniambia jamaa alomzalisha kamkimbia, hajui chochote kuhusu mtoto na hampi sapoti, mjini palimshinda kujigharamikia na mtoto akaona arudi kijijini ! Nikwambia poa, akawa kama ana shauku ya kuniambia Jambo lakini anaogopa, nikamuaga nikaondoka !!
Likizo ikaisha nikarudi job, akawa ananitafuta Sana, nikawa simpi chansi ya kujenga ukaribu nae,,, Mara ananiomba hela, siku akanambia anaomba nimlipie bili ya maziwa ya mtoto 18000, means sh 600 per day kwa mda wa mwezi ! Nikamtumia, Mara nataka hiki Nampa, mtoto anaumwa Nampa helA!
Nikaja kukata mawasiliano nae na kumblock , anatafuta namba mpya ananicheki ! Siku nikampa mchumba wangu akaongea nae akamtukana pia akamwambia usimzoee mume wangu,,,, akaja kutuma msg Mara ooh unaringa umefanikiwa, maisha Ni haya haya na kelele nyingi, nikamjibu simpo tu ulichezea shilingi kwenye tundu la choo, nataka nimkomoe
Kuna mdogo ake yupo chuo,nataka nikatafune nishaseti mipango na siku ya kuja kwangu tumeshapanga! nitamtumia nauli aje nikae nae Kama wiki alafu ndio arudi ,pia nitajitahidi dada mtu ajue ili akili imkae sawa, kanisumbua Sana huyu mshenzi
Funzo kwa vijana ambao hamjaingia kwenye ndoa na mlioko vyuoni ukipendwa pendeka, hata Kama humpendi mwenzio usimuonyeshe dharau !
Ni muda kidogo sijaweka andiko hapa, lakini Mimi Ni msomaji mzuri wa hapa jukwaani!
Nilikuwa na mpenzi wangu kipindi Cha nyuma nikiwa nikiwa na miaka 21-24, Ni msichana tulietoka Kijiji kimoja, japo shule Ni tofauti! Mapenzi yetu yalianzia chuoni!Nilimpenda Sana , mapenzi yalishamiri Sana kipindi hicho tupo chuo, na nikiri wazi kuwa hata boom langu amelila Sana, achilia mbali kumsaidia kazi za kitaaluma!
Nikiri wazi, mm ndiye nilikuwa nampenda kuliko yeye alivyonipenda, Ni mtu flani Alikuwa ananata Sana, akishasema kitu amesema , pia mnaweza kuwa na outing akaja kui-cancell dakika za mwisho kisa Jambo la kijinga tu ! Kufupisha story hapa tulipitia ups na downs nyingi tu , tulishaachana Mara kadhaa lakini nakuwa mpole Tena tunarudiana! Na Ni mtu Alikuwa na dharau Sana, kidume najipinda namtoa kidizaini pesa ya kujikimu lakini wapi !!!
Tukamaliza chuo, tukarudi mtaani, hapa nilisota kidogo yeye akawa Kuna mahali anajishikiza japo kwa muda, dharau zikaanza , Mara hajibu sms on time , Mara WhatsApp hajibu (anasoma lakini anapotezea) , unaweza kumpigia Mara kadhaa asipokee baadae akija kuona simu Wala hakutafuti hata ile kinafki kwamba alikuwa busy,,,, tukaachana rasmi ,!!
Mimi nikabahatika kupata kazi mkoa mwingine , nilivyohama ndo chansi ya kumsahau kabisa, nilikuwa naambiwa tu habari zake kwamba kibarua kiliisha na yupo yupo mjini tu anaunga unga ,,,,(anadanga)
Tokea kipindi tunaachana miaka mitano imepita, juzi Kati kipindi covid 19 inapamba Moto nikaja kijijini kusalimia (mind that sio kwamba sijawahi kuja nyumbani Ni kwamba sikuwahi kuja nikamkuta, nahisi tulikuwa tunapishana ), sasa bwana nikaambiwa mchumba wako anamtoto (baadhi ya wanangu wa kitaa walikuwa wanayajua mahusiano yetu) !!
Eeeh bwana eeh nikafunga safari kwenda kwao na jamaa yangu kumsalimia na kumsabahi,,, kwao pana kiduka, nilimkuta yeye ndiye anauza hapo! si mnajua Ni Yale maduka (vioski) vya kijijin vinavyouza mahitaji muhimu tu,,,kwa haraka haraka hapawezi kuwa na mauzo ya 50k per day, labda 25-30!
Alivyoniona alihamaki Sana , hakutegemea na hatukuwa na mawasiliano , nikamkuta ana mtoto wa kike ana miezi 7(kwa mujibu wa maelezo yake) na Alikuwa kapauka mno, ile rangi ya biscuits haipo Tena, kavaa mgauni mkubwa sijui ndio wanaita madela, ziwa linaning'inia tu huko hana habari !! nikampa hongera kea kupata mtoto, akanikaribisha kwa aibu sana, full kujistukia akawa Hana amani kabisa, Mara anajiweka busy lakini wapi !
Nilienda na mshikaji wangu tukaagiza vinywaji akatuletea, tukanywa tukasepa, maana hata jamaa yangu aliniambia huyu Hana amani Bora tuondoke tu,,, akaniomba namba nikampa !
Yeye ndiye alianza kunitafuta maana sikuchukua namba zake, tukachati kidogo akaniomba niende kwake Tena lakini nikiwa peke yangu ! Nikaenda kesho kutwa yake, tukapiga story, akaanza kuongea kwa uchungu, machozi yanalenga lenga blah blah kibao, Mara nilikukosea Sana , mda huo namsikiliza tu, mwishoni nikamuambia kwa hio unasemaje ? Unataka turudiane ama ??
Akasema hpn, japo napenda ila mimi sio type yako Tena ! Akaniambia jamaa alomzalisha kamkimbia, hajui chochote kuhusu mtoto na hampi sapoti, mjini palimshinda kujigharamikia na mtoto akaona arudi kijijini ! Nikwambia poa, akawa kama ana shauku ya kuniambia Jambo lakini anaogopa, nikamuaga nikaondoka !!
Likizo ikaisha nikarudi job, akawa ananitafuta Sana, nikawa simpi chansi ya kujenga ukaribu nae,,, Mara ananiomba hela, siku akanambia anaomba nimlipie bili ya maziwa ya mtoto 18000, means sh 600 per day kwa mda wa mwezi ! Nikamtumia, Mara nataka hiki Nampa, mtoto anaumwa Nampa helA!
Nikaja kukata mawasiliano nae na kumblock , anatafuta namba mpya ananicheki ! Siku nikampa mchumba wangu akaongea nae akamtukana pia akamwambia usimzoee mume wangu,,,, akaja kutuma msg Mara ooh unaringa umefanikiwa, maisha Ni haya haya na kelele nyingi, nikamjibu simpo tu ulichezea shilingi kwenye tundu la choo, nataka nimkomoe
Kuna mdogo ake yupo chuo,nataka nikatafune nishaseti mipango na siku ya kuja kwangu tumeshapanga! nitamtumia nauli aje nikae nae Kama wiki alafu ndio arudi ,pia nitajitahidi dada mtu ajue ili akili imkae sawa, kanisumbua Sana huyu mshenzi
Funzo kwa vijana ambao hamjaingia kwenye ndoa na mlioko vyuoni ukipendwa pendeka, hata Kama humpendi mwenzio usimuonyeshe dharau !