WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 932
nikiunganisha dots nimejua team yako
ameongea ukweli mtupu acha kumpa timu zenu za ajabu ajabu za ben na wengineo?
-hata mimi sioni umuhimu wake huyu mtu
nikiunganisha dots nimejua team yako
jamani hakuna mtu kasema mwenyekiti hafai,someni mwelewe sote tunaipenda bawacha,tusijifiche kwenyekivuli cha ccm.
nimenukuu katiba ya chadema inayotuongoza, kama kila mtu akisimama kwa nafasi yake chama kitasonga mbele, chadema sasa hivi inafanya kazi kitaasis badala ya kiharakati.
pole sana kwa kuwaza kifisi fisi
nina asilimia nyingi za uhakika this guy sio mwanachadema...ni ccm mtiifu kutokana na tabia zake humu jukwaani
ndio tunajuwa dada pendo peneza na ben saanane walikuwa bora, ila viongozi wanaona tuwakilisha walimchaguwa walio muona yupo juu zaida, kwa mda mfupi viatu vime mpwaya, tuwaombe ben na peneza wamsaidi mwenyekiti wa sasa japo ushauri wa mbinu.
ndio tunajuwa dada Pendo Peneza na Ben Saanane walikuwa bora, ila viongozi wanaona tuwakilisha walimchaguwa walio Muona yupo juu zaida, kwa mda mfupi viatu vime mpwaya, tuwaombe Ben na Peneza wamsaidi Mwenyekiti wa sasa japo ushauri wa mbinu.
Kwani kitengo cha habari hakiko chini ya Mwenyekiti wa BAVICHA?
Hakuna mtu mwenye majungu hapa...watu tunakosoa hadharani na kwa fact.
Tunataka kuona baraza la vijana Vibrant...wao ndio walitakiwa wawe wana run the shownchi nzima....
walitakiwa wawe kweye midomo ya Watanzania
Tusilete visingizio eti kazi zinafanyika kimya kimya...Kazi ya siasa na kimya kimya wapi na wapi?
Patrobas ajitafakari....mshaurini aiweke timu yake vizuri...waingie kazini
Kama hawezi yeye aunde timu au task force ya kuendesha operesheni anuwai.....
Tatizo lililopo BAVICHA ni central Coordination
zakuwashugulikia watu wenye double standard kama zako
hivi wewe unawezaje kumtukana mwanachama mwenzako kienyeji hivi?
wajumbe wa BAVICHA ndo walimchagua na si viongozi wa kitaifa,ni wanachama na wapenzi ndo tulimchagua
hata mimi nina mashaka nae huyu * chadema kwanza*
wajumbe wa bavicha ndo walimchagua na si viongozi wa kitaifa,ni wanachama na wapenzi ndo tulimchagua
ndio hao ninao wazungumezia, wajumbe ni viongozi kwetu, walituwakilisha sisi.
mr.kilunga vyovyote iwavyo kwa siasa hizi za p.katambi lazima tuwe wakweli kuwa anapwaya!
-ombi kwake akisahihishe kwa manufaa ya chama na kama hawezi basi awe na utayaro wa kikisolewa ili challenges zimsaidie kufikia goals tunazozohitaji?
**bado tunampenda ajisahihishe!???
Upendo peneza was the right choice
Chademakwanza umenikwaza sana!!!
Mwenyekiti wa BAVICHA kashindwa kazi! That is a fact! Angalia mdee alipochukua tu kiti alifanya amsha amsha tukajua Bawacha imepata jembe!! Though sasa ivi kapoa kidogo.
Huyu wa bavicha hata jina lake ndo nimelijua leo!! huyu ni janga!! mi ni mpenzi wa mabadiliko so nasikitika pale nnapoona kitengo muhimu cha kusukuma haya mabadiliko kimepata steringi bogas kama huyu patrogas!!
peleka malalamiko au ushauri kwenye vikao au ofisi za chadema zilizo karibu nawe watazishughulikia. Huku kwenye mitandao ya kijamii sio ofisi zetu, huku unaweza kujibiwa na washabiki au wanachama wa kawaida..... Official ni muhimu mkuu
ngoja nita ku-Pm mkuu jambo