Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Nikutoe wasiwasi unaniona sana kwenye vyombo vya habari
Popo wewe....tena una matatizo makubwa kweli...
Kwenye vyombo vya habari ndio nini?
Si ungekuja na ID halisi uongee pumba zako hizi
Nikutoe wasiwasi unaniona sana kwenye vyombo vya habari
Subiri kwanza tumuondoe ccm
Mwenyekiti Bavicha anawatia viwewe vibaraka Wa CCM...
Elewa kuwa kunamambo yanayofanya na mti mojammoja na kunavikundi, pia taasisi, vyote kwa pamoja vinatakiea kufanya kazi kwa pamoja na kwa kasi inayo endana.
Sasa wewe unaendesha gari kwa tair tatu moja imegoma kisha unajisifu na kupiga kifua kuwa gari inakimbia!?.
Bavicha tuamke
Kama unasema hujui katiba ndio tunakujuza sasa kuna namna yakuwasilisha hatufanyi kazi zetu ki ccm
Magwanda yanakanyagana.
Kazi anazofanya zimetukukaWewe sijui ni mgumu kuelewa ...sijui ni ulevi tu...sijui ni uropokaji....sipati jibu
Ila in short...Kama Patrobas angekuwa anafanya kazi yake ipasavyo....Lawama hizi za mara kwa mara zisingetokea
Kwa sisi tunaojua kazi zake niwatendaji bora sana
Naona kila mtu ananena kwa lugha yake.Popo wewe....tena una matatizo makubwa kweli...
Kwenye vyombo vya habari ndio nini?
Si ungekuja na ID halisi uongee pumba zako hizi
Nivigumu kumuchafua mkuu kwani akuna kijana yeyote wa chama chochote ane sikika akifany arakati unajua watu wana chukulia siasa nikitu rahisi mbona hawaulizi vijana wa vyama vingine wako wap?CCM wamejipanga kimkakati kumshambulia M/kiti wa Bavicha. Naona wameanza kumwogopa, sasa ni mwendo wa kuanzisha thread! Poleni sana maana hata hili nalo mtashindwa!
Nimenukuu katiba ya chadema inayotuongoza, kama kila mtu akisimama kwa nafasi yake chama kitasonga mbele, Chadema sasa hivi inafanya kazi kitaasis badala ya kiharakati.Hujaelewa ninacho kimaanisha mkuu, hivi hata kwenu unaingia tu na kuanza kuoakua wakati baba yako hajapakua chakula, tunahitaji bawacha yenye kasi na inayoonyesha njia,ili kuwatia moyo na wengine,unafikiri heche angekuwa anafanya kazi hivi leo tungekuwa na bawacha hii?.
Tuache mawazo mgando
Naona kila mtu ananena kwa lugha yake.
Kazi anazofanya zimetukuka
Kazi anazofanya zimetukuka
Basi nyie mtakuwa mnajuana chumbani...huku Public hawaonekani
Kama kweli wewe ni mwanachadema piga kazi mafanikio yataonekana, kama unasubiria viongozi wa kitaifa ndio waje kwenye maeneo yako waeneze chama ......kama wewe ni kiongozi wa Msingi au ngazi yoyote hautufai, kuwa tuu mwanachama wa kawaida. Hata mwanachama wa kawaida anatakiwa aeneze chama kwa eneo alilopo.
Ukisoma kadi ya Chadema kwa nyuma...Wajibu wa Mwanachama namba 3. (imetolewa kwenye katiba ya chadema) Imeeleza kwamba "Kutetea na kueneza itikadi, falsafa na Madhumuni ya chama ndani ya jamii anamoishi"
Mpaka CHADEMA wenzio wanakuona kituko sasa. Unawadhalilisha na kudhalilisha lichama lenu.
Mpaka CHADEMA wenzio wanakuona kituko sasa. Unawadhalilisha na kudhalilisha lichama lenu.
michepuko ya ccm nimingi sana tutaishugulikia tu