Kuna kitu hakiko sawa BAVICHA

Kuna kitu hakiko sawa BAVICHA

Magamba bhana mnajitia dole then mnanusa mnabinua pua kama mbuzi,Mwenyekiti ni powerful na atawavua vyupi mwaka huu.
 
Wanachadema kindakindaki wanaona na kuusema udhaifu wa mwenyekiti wa BAVICHA taifa.
Mficha maradhi mauti humuumbua.
Tena makamu wake ole Sosopi is better by far!
Patrobas anatakiwa kupisha au apigiwe kura ya kutokuwa na imani.
Mwenyekiti wa BAVICHA taifa ni msemaji wa umoja kitaifa.Pamoja na matukio yooote jamaa haonekani.
Hata kama anafanya kazi chini kwa chini,mbona ole Sosopi tunamwona?
NB;Sijui kama ana ujasiri wa kuhost international meetings kama Heche!
 
Magamba bhana mnajitia dole then mnanusa mnabinua pua kama mbuzi,Mwenyekiti ni powerful na atawavua vyupi mwaka huu.

Jamani hakuna mtu kasema mwenyekiti hafai,someni mwelewe sote tunaipenda bavicha,tusijifiche kwenyekivuli cha ccm.
 
NAOMBA NIWEKE WAZI KUWA SIWEKI POSTI HII ILI KUVURUGA UMOJA HUU,WALA SINA NIA YA KUFARAKANISHA VIONGOZI,NIA YANGU NI KUANZISHA MJADALA MPANA ILI KUUSAIDIA UMOJA WETU UENDANE KASI INAYO TAKIWA.

Baraza la vijana wa chadema kwa sasa linaonekana limefubaa,ni thahiri uongozi uliopo unashindwa kubuni mambo,hauna kasi iliyokuwepo hapo awali alipokuwepo Mh,Heche, uongozi ni kama unafanya mambo kwa kushuliwa na baadae una lala tena.niwazi mwenyekiti wetu amzidiwa mbinu au hana mbinu za kuchangamsha baraza.

Wana bavicha niwazi sasa tunahitaji mbinu mbadala,au plan B, baraza linahitajika kuamka na uongozi ukubali kuanzisha kikosi kazi maalum kitakachokuwa ndani ya bavicha kwaajili ya kazi hiyo,mwenyekiti abaki ofisini kusimamia harakati hizo kwasababu hata kwenye operesheni alizoshiriki ameonyesha kutomudu mikiki mikiki na badalayake amakuwa akimezwa na waliomzunguka na kutoonekana kabisa,amekuwa kama anauoga flani.

Tunahitaji kikosi kitakacho changamsha baraza letu hata ikiwezekana waliogombea nafasi ya mwenyekiti na kushindwa basi,wapewe uwanja maalum wa kuendesha siasa ndani ya bavicha ili baraza lichangamke na kurudisha msisimko uliokuwepo awali.

kwamuda ambao mwenyikiti amekuwepo umetosha kumpima na kujua ni mtu wa aina gani,uwezowake jukwaani tumesha ufahamu,huvyo hatupaswi kuendelea kupoteza muda wakati uchaguzi unakaribua.

NI WAKATI WA KUCHUKUA HATUA SASA KWA USTAWI WA UMOJA WETU

Naunga mkono HOJA. Bado sijaiona makeke ya Mwenyekiti wetu BAVICHA Taifa
 
kuna namna yauwasilishaji wa tarifa kwa chama soma katiba

Unadhani watu woooote huko JF ,Twitter,Facebook,watsap ni wanachama wa chadema...hivyo wafuate katiba ya chadema.

Gentleman....Ni busara kujifunza kukosolewa in Public ...Hio pia ni democracy....Unaficha nini ambacho hutaki watu wakikosoe in public
 
Wanachadema kindakindaki wanaona na kuusema udhaifu wa mwenyekiti wa BAVICHA taifa.
Mficha maradhi mauti humuumbua.
Tena makamu wake ole Sosopi is better by far!
Patrobas anatakiwa kupisha au apigiwe kura ya kutokuwa na imani.
Mwenyekiti wa BAVICHA taifa ni msemaji wa umoja kitaifa.Pamoja na matukio yooote jamaa haonekani.
Hata kama anafanya kazi chini kwa chini,mbona ole Sosopi tunamwona?
NB;Sijui kama ana ujasiri wa kuhost international meetings kama Heche!
Subiri kwanza tumuondoe ccm
 
NAOMBA NIWEKE WAZI KUWA SIWEKI POSTI HII ILI KUVURUGA UMOJA HUU,WALA SINA NIA YA KUFARAKANISHA VIONGOZI,NIA YANGU NI KUANZISHA MJADALA MPANA ILI KUUSAIDIA UMOJA WETU UENDANE KASI INAYO TAKIWA.

Baraza la vijana wa chadema kwa sasa linaonekana limefubaa,ni thahiri uongozi uliopo unashindwa kubuni mambo,hauna kasi iliyokuwepo hapo awali alipokuwepo Mh,Heche, uongozi ni kama unafanya mambo kwa kushuliwa na baadae una lala tena.niwazi mwenyekiti wetu amzidiwa mbinu au hana mbinu za kuchangamsha baraza.

Wana bavicha niwazi sasa tunahitaji mbinu mbadala,au plan B, baraza linahitajika kuamka na uongozi ukubali kuanzisha kikosi kazi maalum kitakachokuwa ndani ya bavicha kwaajili ya kazi hiyo,mwenyekiti abaki ofisini kusimamia harakati hizo kwasababu hata kwenye operesheni alizoshiriki ameonyesha kutomudu mikiki mikiki na badalayake amakuwa akimezwa na waliomzunguka na kutoonekana kabisa,amekuwa kama anauoga flani.

Tunahitaji kikosi kitakacho changamsha baraza letu hata ikiwezekana waliogombea nafasi ya mwenyekiti na kushindwa basi,wapewe uwanja maalum wa kuendesha siasa ndani ya bavicha ili baraza lichangamke na kurudisha msisimko uliokuwepo awali.

kwamuda ambao mwenyikiti amekuwepo umetosha kumpima na kujua ni mtu wa aina gani,uwezowake jukwaani tumesha ufahamu,huvyo hatupaswi kuendelea kupoteza muda wakati uchaguzi unakaribua.

NI WAKATI WA KUCHUKUA HATUA SASA KWA USTAWI WA UMOJA WETU
Kama kweli wewe ni mwanachadema piga kazi mafanikio yataonekana, kama unasubiria viongozi wa kitaifa ndio waje kwenye maeneo yako waeneze chama ......kama wewe ni kiongozi wa Msingi au ngazi yoyote hautufai, kuwa tuu mwanachama wa kawaida. Hata mwanachama wa kawaida anatakiwa aeneze chama kwa eneo alilopo.

Ukisoma kadi ya Chadema kwa nyuma...Wajibu wa Mwanachama namba 3. (imetolewa kwenye katiba ya chadema) Imeeleza kwamba "Kutetea na kueneza itikadi, falsafa na Madhumuni ya chama ndani ya jamii anamoishi"
 
Unadhani watu woooote huko JF ,Twitter,Facebook,watsap ni wanachama wa chadema...hivyo wafuate katiba ya chadema.

Gentleman....Ni busara kujifunza kukosolewa in Public ...Hio pia ni democracy....Unaficha nini ambacho hutaki watu wakikosoe in public
Katiba inasemaje?
 
Back
Top Bottom