WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 932
wewe huwezi kutusumbuwa kichwa lengo lako ni kumchafuwa upendo.
achana na gamba hilo tupeane ushauri hapa ili bavicha istawi zaidi.
wewe huwezi kutusumbuwa kichwa lengo lako ni kumchafuwa upendo.
ccm wamejipanga kimkakati kumshambulia m/kiti wa bavicha. Naona wameanza kumwogopa, sasa ni mwendo wa kuanzisha thread! Poleni sana maana hata hili nalo mtashindwa!
Sisi kama wanachama na wapenzi wa chadema bila kutegemea Bavicha, pia tuna juku la kutoa elimu kwa vijana.
Mm binafsi nimebadilisha mtazamo wa vijana wote wanao nizunguka juu ya Zitto.
Wameelewa na kutambuwa ujuio wa ACT na dhumu lao.
wameelewa CCM walivyo aribu taifa letu, hivyo ni jukumu letu sote, ila Mwenyekiti ana tuangusha, kiukweli tunzitaka Bavicha ya Heche sasa.
unataka kusema sa iv no kunadi sera mnadeal na zzk?interesting.
ntidic........names to all his political enemies!
kumbe unampata huyu mzee mwalimu,bingwa wa kuwa label vibaya wakosowaji wake,mwal clavery..
Sisi kama wanachama na wapenzi wa chadema bila kutegemea Bavicha, pia tuna juku la kutoa elimu kwa vijana.
Mm binafsi nimebadilisha mtazamo wa vijana wote wanao nizunguka juu ya Zitto.
Wameelewa na kutambuwa ujuio wa ACT na dhumu lao.
wameelewa CCM walivyo aribu taifa letu, hivyo ni jukumu letu sote, ila Mwenyekiti ana tuangusha, kiukweli tunzitaka Bavicha ya Heche sasa.
then ndio tuna mwaga sera za CHADEMA.
unataka kusema sa iv no kunadi sera mnadeal na zzk?interesting.
Bavicha bila Upendo Furaha Peneza si lolote na imekufa! Ni bora mkafanya mapinduzi....
Chadema wameishindwa ccm, sasa wamehamia kupambana na Zitto, teh teh Hii Saccos ya Mtei hovyo sana
Vikao vya chama vipo kwenye ngazi ya Msingi na ukipeleka maoni yanafika Taifa. Ukiwa mwanachama una wajibu wa kuhudhuria vikao vya chama! Kila mwanachama ana kikao cha kuhudhuria na niwajibu.
Chama kitapigiwa kura na wanachama, wapenzi, washabiki na wale watakaokubaliana na sera zetu. Tunaendelea kuwajengea imani watanzania kuwa sisi ndio tumaini jipya. Watakaotuelewa watatupigia Kura.
Kukosoa viongozi kwa wanachama ni kwa kufuata utaratibu, Otherwise itakuwa yale yale, Naibu Katibu mkuu anaenda kuulizia hesabu za chama kwenye Ofisi za PAC. Huo ni upuuzi!
ni vema kuanzia ngazi ya vijiji vijana wote wakawekwa wazi juu ya ujio wa ACT na kazi zake, wote wakajuwa kazi aliopewa Zitto na CCM, wajuwe na kuelewa kama wengi wetu tunavyo elewa humu'
ACT na CCM wanatumia uelewa mdogo wa vijana, kuwarubuni ili waaminike ni vema bavicha kutoa elimu mapema.
Kuna mtu hapo anasema Heri Ben Saanane. Sijui kama huyo member apo juu anajua kilichotokea.Ben hawezi kukwepa lawama maana kama mwenyekiti aliyepatikana ndio huyu ni kwa sababu ya siasa za kukomoana za akina Ben ,Heche,Munishi na uongozi. Ben sikumuunga mkono katika uchaguzi ule na maandishi yangu yapo hadi sasa uku JF.Niliona kwamba ni lazima angeshinda lakini propaganda ya ukabila si ingetumaliza?alishauriwa ajitoe agombee hata ukatibu mkuu akagoma.Jamaa ni mbishi sana sasa ikabidi marekebisho ya kanuni yawekwe kwa kuwa yeye kazaliwa december83' ikawekwa awe amezaliwa januari 84'. Kwa kufanya hivyo akwa nje tayari lakini Nanyaro Ephata na Dani Naftali walikua na nguvu ya kushinda baada ya yeye kuondoa jina .Akina Heche na Munishi nadhani na uongozi wa juu walimtaka Naftali.Ben kwa hasira na kukomoana na kundi lake wakaamua kuhamishia kambi kwa Upendo Peneza na Petrobas na ilishuhudiwa waziwazi akina Ben wakipiga kampeni ya nguvu dhidi ya Naftali na Nanyaro huku wakiratibu kuelekeza kura kwa Petrobas na hata kwenye ukatibu mkuu kwa Mwita siku iliyofuata.Usiku wa kuamkia kampeni hadi Lema aliingilia uchaguzi kummaliza Nanyaro na ukumbini wakati wa kura akina Ben walielekeza karatasi za maswali ya uchokozi kwa Naftali wakammaliza.Walinikera sana kwa siasa hizi za kulipiza visasi.Ndio maana hata kwenye ule uzi wa mwezi uliopita Ben aliibuka kumtetea Petrobas .Ni lini Heche akiwa Mwenyekiti uliwahi kumuona Ben akimtetea alipopigwa mawe huku?Hapa ndipo baraza letu lilipopoteza Mwelekeo kwa sababu ya siasa za ubabe ,kukomoana na kulipiza visasi. Naftali angeshinda ule uchaguzi na kila mtu alijua.
CCM wamejipanga kimkakati kumshambulia M/kiti wa Bavicha. Naona wameanza kumwogopa, sasa ni mwendo wa kuanzisha thread! Poleni sana maana hata hili nalo mtashindwa!
Tulia utaona october mtajifungia kwenye yale makabati ya fisi