BAVICHA inabeba matumaini makubwa kwa taifa hili ambalo kwa takwimu za sensa ya mwaka 2012 ni taifa la vijana.
Sensa ya mwaka 2012 ilionesha taarifa zifuatazo
[TABLE="class: cms_table, width: 500"]
[TR]
[TD]
Umri
[/TD]
[TD]
Idadi ya watu
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 0-4[/TD]
[TD]7,273,832[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 4 hadi 14[/TD]
[TD]12,451,624[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muaka 14 hadi 17[/TD]
[TD]2,779,070[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 17 hadi 60[/TD]
[TD]18,179,978[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 60 hadi 65[/TD]
[TD][TABLE="class: cms_table, width: 145"]
[TR]
[TD] 2,507,568[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Miaka 65 na kuendelea[/TD]
[TD]1,736,851[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Jumla
[/TD]
[TD]
44,928,923
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Ukisoma Takwimu hizo za baraza la taifa la Takwimu (
National Bureau of Statistics | Statistics for Development) ni kwamba zaidi ya watanzania milioni 30 ni Vijana.Hawa ndio BAVICHA inabeba matumaini yao yote.
Kati yao Milioni 22 ni vijana na watoto chini ya miaka 17.BAVICHA ianabeba matumaini yao.
BAVICHA Inatakiwa itambue kwamba serikali iliyopo imeshindwa kulisaidia taifa hili hasa katika hali ya maisha ,elimu,afya ,ajira,kuondokana na subsistence economy n.k