Nicholaus Kilunga
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 1,188
- 570
Mkuu ebu tuambie kwenye kiti wa sasa kafanya nn mpaka sasa, maana mikutano mingi huwa anakuwa na viongozi wa kitaifa. hebu angalia alivyokuwa bwana Heche
just wait u will see
Mkuu ebu tuambie kwenye kiti wa sasa kafanya nn mpaka sasa, maana mikutano mingi huwa anakuwa na viongozi wa kitaifa. hebu angalia alivyokuwa bwana Heche
kwa hiyo mtoa mada ni msaliti?
tulihamwe!!bavicha iko imara mkuu ondoa hofu,kila taasisi inaprogramme zake,uliza ametekeleza mangapi aliyoyaahidi?mengine majungu ,bavicha si mwenyekiti pekee,me nalia na kitengo cha habari bavicha,kiamke
just wait u will see
chadema tupendeni kuambiana ukweli. Sio kila anae sema ukweli ni msaliti. Sisi wengine ni wanachama na mashabiki wa chadema hivyo sehemu kama hii ndio njia pekee ya kujenda chamba kwz kueleweshana.
hakuna aliyesema wewe ni msaliti!
-bali ili tufikie kwenye malengo lazima tutofautoane na mwishowe tuungane kwa ari nzuri.
mwenyekiti wa bavicha kashindwa kazi, chama kitafute mtu mwingine vijana wa chadema hatutaki kuliuwa baraza hili kabisa, leo hii ipo wapi tofauti ya uvccm na bavicha?
patrobas anachukiwa sana na viongozi wakuu wa chadema kisa hatoki kaskazini,
tulihamwe!!
-ukimlilia mwanahabari bavicha mwenyekiti atakwepa??
Katambi jisahihishe bado tuna kuhitaji!
mkuu mwenzi wa kumi ni kesho kutwa, Bavicha washaurini vijana wajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura, walau bavicha iwe na mtaji wa Vijana wa uwakika Million 3. kabla ya uchaguzi.
yes nami napinga sana hiyo mentality tuliyonayowanacdm kwamba kila anaekikosoa chama/viongozi kuitwa mamluki,msaliti ama gamba,huko kunakuwa ni kukwepa hoja,hoja hujibiwa kwa hoja na si kubandikana majina ya ajabu,kuna namna nyingi za kuwasilisha ujumbe/maoni mojawapo ndo hii ya social network,over
tulihamwe mwenewachu,umepata messg yangu niliyoku-pm?
Bavicha bila Upendo Furaha Peneza si lolote na imekufa! Ni bora mkafanya mapinduzi....
uyu jamaa kamekuwa akimpinga yoyote anae toa ushauri yuu ya lolote kuhusu chadema. Kama kweli unaipenda chadema na una nia ya dhati toka mafichoni uje na id ya kwel. Chadema kwanza, maana mleta mada kaja na fact na ww njoo na fact, utuambie mwenyekiti wa sasa kafanya nn
bavicha bila upendo furaha peneza si lolote na imekufa! Ni bora mkafanya mapinduzi....