Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
Vikao vya chama vipo kwenye ngazi ya Msingi na ukipeleka maoni yanafika Taifa. Ukiwa mwanachama una wajibu wa kuhudhuria vikao vya chama! Kila mwanachama ana kikao cha kuhudhuria na niwajibu.
Chama kitapigiwa kura na wanachama, wapenzi, washabiki na wale watakaokubaliana na sera zetu. Tunaendelea kuwajengea imani watanzania kuwa sisi ndio tumaini jipya. Watakaotuelewa watatupigia Kura.
Kukosoa viongozi kwa wanachama ni kwa kufuata utaratibu, Otherwise itakuwa yale yale, Naibu Katibu mkuu anaenda kuulizia hesabu za chama kwenye Ofisi za PAC. Huo ni upuuzi!
Umeelezea kuhusu washabiki....Kwa hio washabiki hawaruhusiwi kukosoa? kwa sababu wanachama ndio wanahudhuria hivyo vikao.
Hebu panueni akili kidogo...kwenye dunia ya sasa unaanzaje kukwepa criticisms?
Hata Obama is criticized....Labda high dictatorial regime ndio inakataa criticism