dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Mkuu...ebu tusianze kuokotezaaaaaa comments ili kukimbia hoja
Nina haki ya kutoa maoni na matazamo wangu as far as naona mambo hayaendi sawa.
Hii ni wake up Call kwa mwenyekiti wa Bavicha........Akiendelea kwa mwendendo huu of course tutakuwa tumepoteza big time
Yaap....nalipindi hiki ndio mchaka mchaka ulitakiwa uanze....lkn Mwenyekiti sanasana utamckia kwenye ziara za viongozi wakuu wa chama wanapokuwepo...Kiukweli ile Sprit iliyoanzisha CDM nw imepoa sana