Haya haya wale wazee wa kupanua uelewa na kuongeza uwezo wa kifikra, Napenda kuwajuza kuwa nimeamua kuja kivingine kama Books library / Maktaba kuu. Kazi yangu mimi itakua ni kukutanisha na Vitabu mbalimbali, journals, Academic researches, Novels, comics na vijarida vingine vingi ambavyo vimeshawahi kuandikwa na watu mashuhuri Duniani.
You name it, we find it.
-Karibu
You name it, we find it.
-Karibu