Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,060
Hicho cha watoto, sie wazee tushavuka hukoKisome na wewe.
Hicho cha watoto, sie wazee tushavuka hukoKisome na wewe.
Nahitaji vitabu vya Harold Robbins... Kama unavo naomba niambie ni title gani unazo niagize asap.
Nahitaji kitabu ya Jeffery Archer cha 'Kane and Abel' na mwendelezo wake wa 'Prodical Daughter'
Niambie vya Mario Puzzo unavo title gani navo nahitaji...
Nahitaji pia vitabu vya Marian Keyes.
mwandishi ni robert masello?Night Crossing ( english)
mwandishi ni robert masello?
Hakuna kitabu, ila script-writers walichukua matukio ya hiyo familia na kuyatengenezea filamu.Sina uhakika ila ni story inayohusu familia 2 walitoroka from East Berlin to West Berlin enzi hizo kwa kutumia baloon.
Imetengenezewa pia movie ni true story.
Basi ebu cheki kama kipo plsHakuna kitabu, ila script-writers walichukua matukio ya hiyo familia na kuyatengenezea filamu.
Ila kama ni kitabu chenye title hiyo ya "NIGHT CROSSING" unaweza ukapata.
ngoja nijaribu ku-attach hapaBasi ebu cheki kama kipo pls
kamata mzigoNahitaji vitabu vya Harold Robbins... Kama unavo naomba niambie ni title gani unazo niagize asap.
Nahitaji kitabu ya Jeffery Archer cha 'Kane and Abel' na mwendelezo wake wa 'Prodical Daughter'
Niambie vya Mario Puzzo unavo title gani navo nahitaji...
Nahitaji pia vitabu vya Marian Keyes.
The Prodigal DaughterNahitaji vitabu vya Harold Robbins... Kama unavo naomba niambie ni title gani unazo niagize asap.
Nahitaji kitabu ya Jeffery Archer cha 'Kane and Abel' na mwendelezo wake wa 'Prodical Daughter'
Niambie vya Mario Puzzo unavo title gani navo nahitaji...
Nahitaji pia vitabu vya Marian Keyes.
Shukran mkuungoja nijaribu ku-attach hapa
Mwandishi: Robert Masello
Jina: The Night Crossing