KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wewe si hamee sehemu hiyo ulizani umekuja duniani kustarehe amka umuabudu mila wako
Mu Africa hakuwa na dini , dini zililetwa ili kurahisisha utawala kwa Africa,
 
Sibishani na uelewa wako lakini natambua unayo imani yako na unaolinda ausio?
Mkuu Sina imani na kitu chochote.
Principal yangu kuu ni kuishi na binadamu kwa wema basi.
 
Mkuu Sina imani na kitu chochote.
Principal yangu kuu ni kuishi na binadamu kwa wema basi.
Wewe imejibu kwakuwa huna imani yoyote huwezi kujuwa uchungu wa wenye imani ndio maana hata sisi hatuna muda na upagani wako
 
Serikali ya TZ inazichukia dini kama Mila na desturi kumbe dini ni mabaki ya ukoloni, dini hazitakiwi kupewa kipaumbele wala kuendeleza shughuli zake.

Mfano hapa Post TU na kariakoo Kuna misikiti Iko karibu karibu hata MITA 100, hazifiki, lakini cha ajabu kila msikiti unapiga adhana kwenye speeker kwa sauti kubwa ya ajabu , kwani nini adhna isitolewe TU kwa msikiti mmoja Posta na kariakoo ili kupunguza makerere .
Kwa uelewa wangu, adhana zinafanywa na kila msikiti ili kuwaita watu waende kuswali. Adhana kuwa moja kwa Posta na nyingine Kariakoo, sijui umechukua kanuni gani.

Hata hapa Magomeni Mapipa kuna Makanisa mawili karibu karibu. Kila siku tunasikia kengele kutoka Makanisa yote hadi tumezizoea.

Maneno yako yanapaswa na hekima zaidi kuliko yalivyo
 
Kwa uelewa wangu, adhana zinafanywa na kila msikiti ili kuwaita watu waende kuswali. Adhana kuwa moja kwa Posta na nyingine Kariakoo, sijui umechukua kanuni gani.

Hata hapa Magomeni Mapipa kuna Makanisa mawili karibu karibu. Kila siku tunasikia kengele kutoka Makanisa yote hadi tumezizoea.

Maneno yako yanapaswa na hekima zaidi kuliko yalivyo
Hata makanisani wanatakiwa kuwa na kengele ndogo ,sauti yake inasikika meters chache TU,
Usitake kuniambia kwamba wakristo hawawezi kufanya ibada ila lazima wawe na li kengele likubwa kama jaba, TU kengele kawe kadogo kama kanabeka mkononi , kana toshelea kwenye kanisa Zima
 
Full Blood Picture na hapo Bado cjui maulidi , yani usiku mzima ni makelele ya nyimbo za kiarabu na madufu. Alafu wana wachukua watoto wadogo wanakesha nao usiku wa manane wakiimba na kupiga madufu

Ss sijui hawa watoto hawana wazazi, maana kama mzazi huwezi ukamwachia mwanao ndogo wakike au wa kiuume kwenye mkesha wa usiku wa manene ,akibakwa je ,au kulawitiwa je?

Haya sio maisha Bora , wa TZ badilikeni
 
Back
Top Bottom