Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 26,047
- 137,257
Aaah wanapenda kutishia,Unaweza fikiria wao hawatakufa na wanamiliki mbingu.
Aaah wanapenda kutishia,Unaweza fikiria wao hawatakufa na wanamiliki mbingu.
Acha uchocheziSisi majirani karibu na msikiti wa kunduchi beach mtakuja, tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu kelele kubwa kutoka msikiti huo uliopo mtaa wa Mbudya. Ibada katika msikiti huu huanza kuanzia saa 10 alfajiri, na sauti inayotumika ni kubwa kupita kiasi kiasi cha kuwasumbua wakazi wa eneo hili, hasa nyakati ambazo watu wanahitaji kupumzika.
Hali hii si ya kawaida, na imekuwa chanzo cha usumbufu mkubwa kwa wakaaji. Sauti inabaki kuwa kubwa hata mchana, jambo linaloathiri utulivu wa majirani. Tunatambua na kuheshimu uhuru wa kuabudu kama haki ya msingi, lakini ni muhimu kutekeleza ibada bila kusababisha usumbufu kwa wengine.
Kumekuwa na juhudi kadhaa za kuwasihi viongozi wa msikiti huu kupunguza kiwango cha sauti, ikiwa ni pamoja na mazungumzo ya ana kwa ana na hata barua rasmi kutoka kwa uongozi wa mtaa. Hata hivyo, juhudi hizi hazijazaa matunda kwani bado tatizo linaendelea na uongozi wa msikiti haujaonyesha ushirikiano.
Tunaomba serikali sikivu na mamlaka husika kuingilia kati ili kuhakikisha kwamba ibada zinaendelea bila kelele kubwa zinahathiri utulivu was wakaaji wa mtaa huu. Dini inatufundisha kuishi kwa utulivu na kujali wengine.
Binti yangu nimemshauri awe mwislamu kwa sababu yako ujue😅Ukisikia wanapiga makelele na wewe Anza kupiga kelele dawa ya moto moto
wale huweka full volume, hawana hekimaHapa issue wapunguze volume tu ya kila kitu
Shida ilipo ni kwamba hakuna kipimo Cha sauti inayotakiwa kutoka kwenye hizo speaker 🔊 kwenda nje.
Watanzania tumeumbwa kuvumilia,tuvumiliane
🙌Binti yangu nimemshauri awe mwislamu kwa sababu yako ujue😅
Ndugu yangu wewe kila wakianza hizo kelele zao wewe litaje tu jina la "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwa kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu" utaona tu kila wakianza kupiga kelele zao utaona wananza kukabwa Koo.Sisi majirani karibu na msikiti wa kunduchi beach mtakuja, tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu kelele kubwa kutoka msikiti huo uliopo mtaa wa Mbudya. Ibada katika msikiti huu huanza kuanzia saa 10 alfajiri, na sauti inayotumika ni kubwa kupita kiasi kiasi cha kuwasumbua wakazi wa eneo hili, hasa nyakati ambazo watu wanahitaji kupumzika.
Hali hii si ya kawaida, na imekuwa chanzo cha usumbufu mkubwa kwa wakaaji. Sauti inabaki kuwa kubwa hata mchana, jambo linaloathiri utulivu wa majirani. Tunatambua na kuheshimu uhuru wa kuabudu kama haki ya msingi, lakini ni muhimu kutekeleza ibada bila kusababisha usumbufu kwa wengine.
Kumekuwa na juhudi kadhaa za kuwasihi viongozi wa msikiti huu kupunguza kiwango cha sauti, ikiwa ni pamoja na mazungumzo ya ana kwa ana na hata barua rasmi kutoka kwa uongozi wa mtaa. Hata hivyo, juhudi hizi hazijazaa matunda kwani bado tatizo linaendelea na uongozi wa msikiti haujaonyesha ushirikiano.
Tunaomba serikali sikivu na mamlaka husika kuingilia kati ili kuhakikisha kwamba ibada zinaendelea bila kelele kubwa zinahathiri utulivu was wakaaji wa mtaa huu. Dini inatufundisha kuishi kwa utulivu na kujali wengine.
Bibi yake ni mwislamu ila babu mkristo , sasa aliniomba ushauri wa kufuata kimoja , kwa binti yangu nilimwacha achague sio lazima awe kama mimi, akaomba mawazo yangu , ,nikamchagulia dini ya bibi yake, na sasa anafuraha sana .
Kila mtu ana uhuru wa kuabudu anakotaka sio kulazimishana.😎Bibi yake ni mwislamu ila babu mkristo , sasa aliniomba ushauri wa kufuata kimoja , kwa binti yangu nilimwacha achague sio lazima awe kama mimi, akaomba mawazo yangu , ,nikamchagulia dini ya bibi yake, na sasa anafuraha sana .
Kabisa binti yangu japo bado ni kadogo ila ni katata kwenye dini hukaambii kitu😅Kila mtu ana uhuru wa kuabudu anakotaka sio kulazimishana.😎
Kila mtu ana uhuru wa kuabudu anakotaka sio kulazimishana.😎
Wewe si uhamee sehemu hiyo ulizani umekuja duniani kustarehe amka umuabudu mola wakoSerikali ya TZ inazichukia dini kama Mila na desturi kumbe dini ni mabaki ya ukoloni, dini hazitakiwi kupewa kipaumbele wala kuendeleza shughuli zake.
Mfano hapa Post TU na kariakoo Kuna misikiti Iko karibu karibu hata MITA 100, hazifiki, lakini cha ajabu kila msikiti unapiga adhana kwenye speeker kwa sauti kubwa ya ajabu , kwani nini adhna isitolewe TU kwa msikiti mmoja Posta na kariakoo ili kupunguza makerere .
Makadirio banaa mhSisi majirani karibu na msikiti wa kunduchi Beach eneo la Mtakuja, tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu kelele kubwa kutoka msikiti huo uliopo mtaa wa Mbudya. Ibada katika msikiti huu huanza kuanzia saa 10 alfajiri, na sauti inayotumika ni kubwa kupita kiasi cha kuwasumbua wakazi wa eneo hili, hasa nyakati ambazo watu wanahitaji kupumzika.
Hali hii si ya kawaida, na imekuwa chanzo cha usumbufu mkubwa kwa wakaaji. Sauti inabaki kuwa kubwa hata mchana, jambo linaloathiri utulivu wa majirani. Tunatambua na kuheshimu uhuru wa kuabudu kama haki ya msingi, lakini ni muhimu kutekeleza ibada bila kusababisha usumbufu kwa wengine.
Kumekuwa na juhudi kadhaa za kuwasihi viongozi wa msikiti huu kupunguza kiwango cha sauti, ikiwa ni pamoja na mazungumzo ya ana kwa ana na hata barua rasmi kutoka kwa uongozi wa mtaa. Hata hivyo, juhudi hizi hazijazaa matunda kwani bado tatizo linaendelea na uongozi wa msikiti haujaonyesha ushirikiano.
Tunaomba serikali sikivu na mamlaka husika kuingilia kati ili kuhakikisha kwamba ibada zinaendelea bila kelele kubwa zinahathiri utulivu was wakaaji wa mtaa huu. Dini inatufundisha kuishi kwa utulivu na kujali wengine.
Hapo ndo mnapoferi na kuwa misukure, tunaongelea mambo muhimu wewe unaishia kutukana watu. Unajuaje kama mimi si muislamuMakafiri wengi wanakuwa
Makadirio banaa mh
"Kafiri" ni nani 😁Hapo ndo mnapoferi na kuwa misukure, tunaongelea mambo muhimu wewe unaishia kutukana watu. Unajuaje kama mimi si muislamu
Hatuongelei kutoabudu, tunaongelea kupunguza sauti au kelele za adhana na mihadhara.