KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

KERO Kuna kelele katika Msikiti wa Kunduchi Beach

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
huwa unawaza kitu tofauti na Dini? Sasa upo Kenya , Kunduchi Dar es Salaam unasikia vipi

Huwa mnakera sana, mkishaamsha watu na hayo makelele ya kiarabu halafu mchana mnakatiza na mikanzu na mindevu yaani fulu kero, muarabu aliwaharibu nyie watu.
 
Acha upumbavu hakuna ofisi ya local government huku.Peleka malalamiko yako physically kwa mwenyekiti wako wa mtaa
 
Sisi majirani karibu na msikiti wa kunduchi Beach eneo la Mtakuja, tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu kelele kubwa kutoka msikiti huo uliopo mtaa wa Mbudya. Ibada katika msikiti huu huanza kuanzia saa 10 alfajiri, na sauti inayotumika ni kubwa kupita kiasi cha kuwasumbua wakazi wa eneo hili, hasa nyakati ambazo watu wanahitaji kupumzika.


Hali hii si ya kawaida, na imekuwa chanzo cha usumbufu mkubwa kwa wakaaji. Sauti inabaki kuwa kubwa hata mchana, jambo linaloathiri utulivu wa majirani. Tunatambua na kuheshimu uhuru wa kuabudu kama haki ya msingi, lakini ni muhimu kutekeleza ibada bila kusababisha usumbufu kwa wengine.


Kumekuwa na juhudi kadhaa za kuwasihi viongozi wa msikiti huu kupunguza kiwango cha sauti, ikiwa ni pamoja na mazungumzo ya ana kwa ana na hata barua rasmi kutoka kwa uongozi wa mtaa. Hata hivyo, juhudi hizi hazijazaa matunda kwani bado tatizo linaendelea na uongozi wa msikiti haujaonyesha ushirikiano.


Tunaomba serikali sikivu na mamlaka husika kuingilia kati ili kuhakikisha kwamba ibada zinaendelea bila kelele kubwa zinahathiri utulivu was wakaaji wa mtaa huu. Dini inatufundisha kuishi kwa utulivu na kujali wengine.
Waliotuletea hizi dini walituweza sana. Tumekuwa na taifa la misukule.
 
Kuna watu huku mkuu wanaendekeza sana kelele. Yaani wanapiga kelele mara tano kwa siku. Watu wanakatishwa usingizi kila siku
Sisi huku wakimaliza ibada wanaweza tape ya mihadhara/mawaidha siku nzima!!! Sijui hawa watu huwa wanafanya kazi muda gani? Aliyetuletea hizi dini alitumaliza.
 
Mtu umejilalia zako ghafla unaskia majitu yanabwatuka kiarabu kwenye spika na kuzindua kila mtu.
Na siyo kubwatuka tu ila kutishana...utasikia "hilo shuka ndo sanda yako na hicho kitanda ndo jeneza lako"
 
Sisi majirani karibu na msikiti wa kunduchi Beach eneo la Mtakuja, tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu kelele kubwa kutoka msikiti huo uliopo mtaa wa Mbudya. Ibada katika msikiti huu huanza kuanzia saa 10 alfajiri, na sauti inayotumika ni kubwa kupita kiasi cha kuwasumbua wakazi wa eneo hili, hasa nyakati ambazo watu wanahitaji kupumzika.


Hali hii si ya kawaida, na imekuwa chanzo cha usumbufu mkubwa kwa wakaaji. Sauti inabaki kuwa kubwa hata mchana, jambo linaloathiri utulivu wa majirani. Tunatambua na kuheshimu uhuru wa kuabudu kama haki ya msingi, lakini ni muhimu kutekeleza ibada bila kusababisha usumbufu kwa wengine.


Kumekuwa na juhudi kadhaa za kuwasihi viongozi wa msikiti huu kupunguza kiwango cha sauti, ikiwa ni pamoja na mazungumzo ya ana kwa ana na hata barua rasmi kutoka kwa uongozi wa mtaa. Hata hivyo, juhudi hizi hazijazaa matunda kwani bado tatizo linaendelea na uongozi wa msikiti haujaonyesha ushirikiano.


Tunaomba serikali sikivu na mamlaka husika kuingilia kati ili kuhakikisha kwamba ibada zinaendelea bila kelele kubwa zinahathiri utulivu was wakaaji wa mtaa huu. Dini inatufundisha kuishi kwa utulivu na kujali wengine.
Sijausoma hata ujumbe wenyewe. Kichwa cha habari tu kinatosheleza.

Nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria na au desturi.

Moja ya haki ya kidemokrasia ni desturi ya wengi ktk eneo fulani la utawala, mf mtaa, kitongoji, kata na kuendelea ambapo jamii ya wengi ktk eneo hilo hutunga Sheria (Wengi Hushinda). Ndio maana tuna uchaguzi kuanzia ngazi ya mtaa.


Kama Watanzania tunaishi kwa utofauti wa kitamaduni ambao unakaribisha na kukubali watu kutoka mazingira yote ya kijamii, kisiasa, kidini, kikabila na kieneo.

Watu wote wako huru kufuata dini yao na tamaduni zao za asili bila kusahau kuwa kuna utamaduni za wengi ktk eneo hilo.

Na kwamba ili kuepusha mfarakano usio wa lazima wachache wanapaswa kufungwa na kuzuiliwa mara tu tamaduni zao zinapokinzana na tamaduni za wengi za eneo hilo. Katika hali kama hiyo je eneo unaloishi wazawa wengi ni watu wenye tamaduni inayounga mkono adhana au inayohisi ni kelele.

Ili kuweka utaratibu mzuri zaidi wa kisheria ndio maana mara zote naunga mkono, kuundwa kwa utawala wa Serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Si tu kwa Zanzibar bali pia Tanzania Bara kwa hatima yetu vizazi vyetu. Kama Tanganyika ingekuwa na mfumo wa Serikali za majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe ukweli mfumo huu tulionao wa Serikali ambapo mji mkuu uko chini ya utawala wa jamii minority, ukweli tusinfekuwa na vurugu za mabucha ya nguruwe manzese.

Kwa sababu si tu sheria za Serikali za mitaa zinakataza kuuza uchafu huu maeneo ya jamii ambapo wengi ni hawatumii bidhaa hiyo bila ya shaka ingawa wengi wa watendaji wa Serikali wanatumia bidhaa hiyo lkn kiutawala wao ni minority.
 
Iringa wakisikia kelele hizo wanapiga manatati spika hizo😁😁😂 mitaa yenye msikiti kupo kimya hakuna kelele tena 🤣🤣😂😂 labda msikiti uwe mbali na watu au stend😁😁😁
 
Kuna wimbi kubwa la watumishi au manabii sa hiv wametapakaa kwenye mastand ya daladala, masokoni na sehem nyingj za wazi, imefika hatua hadi kwenye baadhi ya usafiri wa umma unakuta watu wanahubiri, na napata shida kujua nan haswa anatoa hivi vibali. Ila serikali itusaidie kwa dini zote hizi kuangakia ni kwa namna gani huzi changamoto zinatatuliwa angalau kuwekwe muongozo sahihi wa kutimiza ibada katika dini zote hizi mbili kwa utulivu na aman
Wahubiri wengi wanaotumia maspika huwa wana tatizo la afya ya akili.
Hawajui kuwa ujumbe wao ungepokelewa vizuri kwa sauti ya chini na ya kistaarabu.
Halafu muda mwingine wanafanya sala kabisa (kuwasiliana na Mungu) kwa kutumia spika, kama vile Mungu ana tatizo la kusikia. Kama sio utaahira, nini?
 
Wahubiri wengi wanaotumia maspika huwa wana tatizo la afya ya akili.
Hawajui kuwa ujumbe wao ungepokelewa vizuri kwa sauti ya chini na ya kistaarabu.
Halafu muda mwingine wanafanya sala kabisa (kuwasiliana na Mungu) kwa kutumia spika, kama vile Mungu ana tatizo la kusikia. Kama sio utaahira, nini?
yeah kweli kabisa ni kero sana
 
Mkimaliza huko mje huku kwangu nimezungukwa na makanisa matatu haya ya reja reja watu hawazidi watano! Lakini kuanzia Ijumaa ni mkesha kelele za muziki, maombi ya kufokafoka! Sasa zidisha mara 3!
 
Mkimaliza huko mje huku kwangu nimezungukwa na makanisa matatu haya ya reja reja watu hawazidi watano! Lakini kuanzia Ijumaa ni mkesha kelele za muziki, maombi ya kufokafoka! Sasa zidisha mara 3!

Kelele haina tija kabisa mbele za Mungu
 
Back
Top Bottom