Ok,Kama kuna mtu amewahi kulipitia hili, iligharimu kiasi gani kulitoa bandarini? Tax,agent fees etc.
Ok,
Ni 95% ya CIF price kama ni gari la 1999-2005 (mwaka wa kutengenezwa gari) na hiyo ni endapo utakuwa umepitishia Dar.
Ok,
Ni 95% ya CIF price kama ni gari la 1999-2005 (mwaka wa kutengenezwa gari) na hiyo ni endapo utakuwa umepitishia Dar.
Ukitaka ujue nchi yetu imeoza agiza gari Nje, then uanze harakati za kulitoa bandarini...Utajuta kunnua...Wengi wameyasusa magari yao!!!...Huwa natamani niwatukane watu wa TRA...watu ambao umesoma nao, wana kila aina ya vitu vya ufahari..wakati wewe umekomaa unatafuta vya HALALI, wenzako kula HARAMU ishakuwa jambo la kawaida...
The whole TAX system BONGO ipo Hovyo, inatoa mianya ya Rushwa sana....
Hakuna mtu anaekataa kulipa TAX kwa maendeleo ya nchi...wao wanaweka hesabu za Ajabu ajabu mno...Waweke tu TAX 100%, hizo breakdown wazifanye wao maofisini...pia wakuliane na real price ya uliponunua...
Ma-Evaluator sijui wana nongwa gani...hawa ma-evaluator hebu wafike soko la magari Japan, UK au Dubai , Hongkong, waone bei za magari...wao evaluation wanatoa wapi? wao ndio wametengeneza?...ktk sytle kama hii Rushwa ndio inapokomaa....na watu kama hawa wakiamishwa tu ofisi....basi huwa wanajiua!!!! they cann't survive...na Mishahara yao!!!
Nawashauri wadau wote mlete magari yenu ZNZ....hakuna usumbufu sana. One day gari umetoa.!!!..na Agent bei yake kama 50,000. na Nimesikia siku hizi Namba za usajili the same Bongo na ZNZ...
Kutoa gari znz kuja bara takriban 350-500,000 kutegemea na size of the car...
mwenye data zaid aseme....
...Kwa maana hiyo, mwisho wa yote ni afadhali uende pale tawi la Autorec uwaonyeshe gari unalotaka halafu uwaachie wao ndio wakuletee, si ndio??