Tman900
Senior Member
- May 30, 2017
- 175
- 345
Kwa mliowahi kutembea nje ya Africa naomba mnipe uzoefu wenu mliyoyaona Uko nje ya Afrika hususani kwenye Swala la usafiri wa mabasi yanayoenda safari ndefu kutoka Mji fulani kwenda mwingine maana kwa Tanzania kuna usanii mwingi kwenye usafiri wa mabasi.
Kama Kuna changa Moto ulishawai kutana nayo kwenye usafiri wa Tanzania unaweza pia kuorodhesha.
Ila usitaje Campan.
Tatizo nililoliona mm unapanda Gari X unakatiwa Tiketi W. Pia mtu amechelewa Busi unapokuja wewe Kupata Tiketi unakuja usanii.
Ukikataa kutoa Pesa mpaka wakupe Tiketi wanagoma wanakuambia Leta Hela kwanza.
Pia ukitoa Pesa Kupata Tiketi Inakuja walio edit wanakutumia kwa Namba ya wakala (Agent wa usafirishaji).
Mfumo wa mtu akichelewa bus siti wanauza kwa mtu mwingine Bila Tiketi naandika hivi nipo ktk Bus. Jilani Yangu Hana Tiketi.
Kwa watu walio safuri nje naomba uzoefu wenu katka hili.
Kama Kuna changa Moto ulishawai kutana nayo kwenye usafiri wa Tanzania unaweza pia kuorodhesha.
Ila usitaje Campan.
Tatizo nililoliona mm unapanda Gari X unakatiwa Tiketi W. Pia mtu amechelewa Busi unapokuja wewe Kupata Tiketi unakuja usanii.
Ukikataa kutoa Pesa mpaka wakupe Tiketi wanagoma wanakuambia Leta Hela kwanza.
Pia ukitoa Pesa Kupata Tiketi Inakuja walio edit wanakutumia kwa Namba ya wakala (Agent wa usafirishaji).
Mfumo wa mtu akichelewa bus siti wanauza kwa mtu mwingine Bila Tiketi naandika hivi nipo ktk Bus. Jilani Yangu Hana Tiketi.
Kwa watu walio safuri nje naomba uzoefu wenu katka hili.