Ngoja niwe against kidogo hapa, Binafsi sitoacha kusema ni raha iliyoje kupewa Hela na mwanaume wako, napenda na nafurahi sana.But kusema unatafuta pesa Kwa kutumia papa ni big NO,ukiishi Kwa kusubiri upewe Hela ya mwanaume ndio uishi utakuwa mtumwa siku zote,hutokaa uinjoy maisha ya mapenzi maana itabidi utembee na mtu hata humpendi,itabidi ujichekeshe wakati deep inside huna furaha kisa upate Hela,ufanye mapenzi huku moyoni unaugulia Kwa majuto, kiukweli wadada tujikomboe tu kiuchumi hizo pesa za wapenzi ziwe motisha sio ndio uti wa mgongo wa maisha yetu...Yaani iwe akiwepo sawa,asipokuwepo sawa unaweza kukidhi mahitaji Yako.......Ila pesa ya mpenzi ni tamu narudia tena😁