Kumpa mwanamke pesa ni kumdharau

Kumpa mwanamke pesa ni kumdharau

Tamu sanaa ila akupee bila kumuomba. Hio ndio inakuwa faraja zaidi na kujua really jamaa anajali. 🤣 Sio kumjaza ma invoice kilazima yani hadi inafikia mtu anaona hapa nimefunga ndoa na mkopo wa kikoba
🤣🤣🤣🤣 Tatizo hamjiongezi nyie,Tusipowaomba mnajikausha sana,au ndio mnakuwa hamjali?
 
🤣🤣🤣🤣 Tatizo hamjiongezi nyie,Tusipowaomba mnajikausha sana,au ndio mnakuwa hamjali?
Unakuwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu kimoyo moyo unavizia upewe hela wtf, kupeana hela kunakuja naturally kwenye mahusiano as a part of kusaidiana, mbona sisi wanaume tukiwa kwenye mahusiano na nyie, moyoni hatuwazagi hivyo lyk kuvizia tupewe hela na wadada Joannah
 
Unakuwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu kimoyo moyo unavizia upewe hela wtf, kupeana hela kunakuja naturally kwenye mahusiano as a part of kusaidiana, mbona sisi wanaume tukiwa kwenye mahusiano na nyie, moyoni hatuwazagi hivyo lyk kuvizia tupewe hela na wadada Joannah
Hatuvizii, Mapenzi yana mambo mengi,kucheka,kupiga story,kushauriana,kulana,kutunzana...Sasa unataka nani akutunzie mpenzi wako?
 
Unajua nini
Wakati Wa ujana inakua hivi kiuhalisia...
Wewe unatafutwa na Mimi natafuta....hahah hapo ndo shida.
Yaani unakuta nae mwanamke anatafuta namna ya kuwa na ela kupitia papa ili akidhi mahitaji yake..
Na wewe unajimake kutengeneza maisha yako..
Manakutana wote mpo hivyo
Tofauti Inakuja pale wewe unahitaji utamu WA dhati....yeye anaitumia nafasi hiyo kupiga maokoto maana mda wote yupo vitani....anahitaj kumake..Kwa namna yoyote Ile.
Ila mizani inakua haibalance mmoja akiwa na ela mwingine Hana
Mkikutana wote ela mnazo....dah mna enjoy sana life...
Bahati mbaya ela mnakuaj kuwa nazo tayari harakati za mapenzi zimepumgua....
Dah
Kwani, huyo mdada anayetafuta hela akidhi mahitaji kupitia papa, anakuwa hana hisia za kumpenda mwanaume? Kwa kipindi hicho ni kila mwanaume anaemuona/anaetongozwa naye anamchaji hela ili atoe papa?

Tuwekane sawa masai dada
 
Back
Top Bottom