masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,386
- 19,311
Tuma dharau hizoNipe ya tecno au nokia 😂😂
Tuma dharau hizoNipe ya tecno au nokia 😂😂
😂 nawe utanitumia nn?Tuma dharau hizo
Kwasasa hiyo dharau haikufai tena, ilikuwa zamani sana...Mi napenda hiyo dharau...
Jamani anaetaka kunidharau aje
Unafaa kudharauliwa?Mi napenda hiyo dharau...
Jamani anaetaka kunidharau aje
Na iwe hivyo nabiiNimependa id yako@KISS 💯.Ingependeza zaidi ingekuwa "KISS ME"!Litamke polepole kwa kiswahili.I'm kidding!
Zilikuwa akili za usiku wa manane zile.Ukizifuatilia ni kero!😁Na iwe hivyo nabii
Waambie si kila mwanamke anadharaulika🤣🤣🤣Kwasasa hiyo dharau haikufai tena, ilikuwa zamani sana...
Acha uoga, mwambie...akukissZilikuwa akili za usiku wa manane zile.Ukizifuatilia ni kero!😁
Nafikiri tafsiri sahihi ni wanawake na butters ni mapacha.Wanawake na pesa ni mapacha
Eti ennhh!?Hello miss@KISS MIA,kiss me,Abeg ooo!✋Acha uoga, mwambie...akukiss
Kwa hela hiyo sio dharau bwana....eeeUnafaa kudharauliwa?
Raha hio umpe mtu ambaye anakupa mapenzi toka rohoni. Ila kwa wale waigizaji hamna raha zaidi ya kuhisi unadangwa tu. Worst scenarioKuna raha fulani hivi unaioata unapompa hela , na ufahari fulani hivi usioelezeka
Dharau hizo hizo....😂 nawe utanitumia nn?
Tatizo Sasa ndo kujua anaekupa mapenzi ya kweli na anaegiza apate hizo dharau ndogo ndogo ndo hujui...Raha hio umpe mtu ambaye anakupa mapenzi toka rohoni. Ila kwa wale waigizaji hamna raha zaidi ya kuhisi unadangwa tu. Worst scenario
HujaniangushaRaha hio umpe mtu ambaye anakupa mapenzi toka rohoni. Ila kwa wale waigizaji hamna raha zaidi ya kuhisi unadangwa tu. Worst scenario
Vijana wanaona ufahari kuonesha udhaifu na wanawake wengi wanipenda sana hilo kundi.Haijawahi kuwa furaha kwenye kumpa hela mwanamke ambaye sio mke wako ni upwiru tu
Ukiona unatumia nguvu nyingi sana kumpea pesa mara kwa mara manzi au kila anapokuomba hujui kusema NO
Lengo uumshawishi aendelee kuwa kwenye uhusiano na wewe ni ishara kuwa mwanamume ni insecure
Hili ndilo kosa kubwa wanaolifanya vijana wa siku hizi.
Natamani nikudharau lkn tatizo lako mlalamikaji sana🤣Kwa hela hiyo sio dharau bwana....eee
Mbona dharau tunaiweka sehemu isiyo sahihi
MaturityVijana wanaona ufahari kuonesha udhaifu na wanawake wengi wanipenda sana hilo kundi.
I will never buy pussies cause i dont freak with hoes!!! Na nikiona tu dalili kuwa natumika hata hio pussy naweza nikaicha iende. Raha ni kuwa na connection na mwanamke real one sio ya kuunga unga na hongo.
Futa kuanzia hapo tatizo....twende sawa...Natamani nikudharau lkn tatizo lako mlalamikaji sana🤣
Hakika mkuu wanawake wanawatumia sana kundi hili la vijana, madogo wanachunwa na hoes mpaka huruma kisa uteleziVijana wanaona ufahari kuonesha udhaifu na wanawake wengi wanipenda sana hilo kundi.