a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 3,235
- 3,666
MWANAMKE ANAONGOZWA NA HISIA ZAIDI KULIKO AKILI.
MAPENZI NI HISIA..
Mwanamke akikupenda AMEKUPENDA KWELI na utajua kuwa unapendwa hata kama wewe hutaona basi walioko pembeni ndugu jamaa na marafiki watajua kuwa huyo mwanamke anakupenda.
HATA KAMA HUNA PESA
atakuvumilia ,tena hatahitaji utumie pesa zako hovyo mana hapo anakupigia hesabu kama MUME anaanza kukuona kama baba wa watoto wake anakuwa na huruma anakuhurumia ,anakujali ,pia anajali kuhusu uchumi wako na familia yako anapenda kila kiti kuhusu wewe.
HATAPENDA utumie HELA HOVYO ama hatakuwa na matumizi ya ovyo ama hatapenda umuhonge kila wakati ATAKUHURUMIA ,tena kuna wakati kama anacho kitu hatakuficha ,haya kama ana pesa kidogo ,na kuna wakati ATAKATAA HATA PESA YAKO ukimpa ,na kuna wakati atatumia pess zake atachangia atakwambia leo nimepata mshahara ama leo usinipe pesa ,,bado ninayo ile ulionipa ,ama baki nayo tu ,
MWANAMKE KAMA hakupendi tambua huwezi kumbadilisha akupende ANAWEZA KUIGIZA lakini tambua Hisia zake ziko kwa mwingine moyo wake uko kwa mwingine ambaye siyo wewe ,ni kama unamlazimisha ni kama umembaka...
HATA UMUHONGE DUNIA pesa hainunui mapenzi ya kweli hainunui hisia za kweli.
Ndio hapa unakuta UNAMUHONGA WEWE pesa na yeye anahamishia kwa yule anayempenda ,
na mwanamke kama hakupendi hana HURUMA NA WEWE anakugeuza ATM MACHINE hata ukisema huna hela hakuelewi ,na hana bajeti ,na kila siku hana hela ,na hata umpe pess kiasi gani ,kila siku hazitoshi..na hata matumizi hana bajeti..hana HURUMA NA WEWE..ndio hao zamani walikuwa wanaita BUZI wanachuna mpaka ngozi.
HITIMISHO
*OA MWANAMKE ANAYEKUPENDA
N:B mwanamke kama hakupendi basi uwe na uhakika tambua kabisa kuna mwingine anayempenda kwa dhati ambaye SIYO WEWE.
MAPENZI NI HISIA..
Mwanamke akikupenda AMEKUPENDA KWELI na utajua kuwa unapendwa hata kama wewe hutaona basi walioko pembeni ndugu jamaa na marafiki watajua kuwa huyo mwanamke anakupenda.
HATA KAMA HUNA PESA
atakuvumilia ,tena hatahitaji utumie pesa zako hovyo mana hapo anakupigia hesabu kama MUME anaanza kukuona kama baba wa watoto wake anakuwa na huruma anakuhurumia ,anakujali ,pia anajali kuhusu uchumi wako na familia yako anapenda kila kiti kuhusu wewe.
HATAPENDA utumie HELA HOVYO ama hatakuwa na matumizi ya ovyo ama hatapenda umuhonge kila wakati ATAKUHURUMIA ,tena kuna wakati kama anacho kitu hatakuficha ,haya kama ana pesa kidogo ,na kuna wakati ATAKATAA HATA PESA YAKO ukimpa ,na kuna wakati atatumia pess zake atachangia atakwambia leo nimepata mshahara ama leo usinipe pesa ,,bado ninayo ile ulionipa ,ama baki nayo tu ,
MWANAMKE KAMA hakupendi tambua huwezi kumbadilisha akupende ANAWEZA KUIGIZA lakini tambua Hisia zake ziko kwa mwingine moyo wake uko kwa mwingine ambaye siyo wewe ,ni kama unamlazimisha ni kama umembaka...
HATA UMUHONGE DUNIA pesa hainunui mapenzi ya kweli hainunui hisia za kweli.
Ndio hapa unakuta UNAMUHONGA WEWE pesa na yeye anahamishia kwa yule anayempenda ,
na mwanamke kama hakupendi hana HURUMA NA WEWE anakugeuza ATM MACHINE hata ukisema huna hela hakuelewi ,na hana bajeti ,na kila siku hana hela ,na hata umpe pess kiasi gani ,kila siku hazitoshi..na hata matumizi hana bajeti..hana HURUMA NA WEWE..ndio hao zamani walikuwa wanaita BUZI wanachuna mpaka ngozi.
HITIMISHO
*OA MWANAMKE ANAYEKUPENDA
N:B mwanamke kama hakupendi basi uwe na uhakika tambua kabisa kuna mwingine anayempenda kwa dhati ambaye SIYO WEWE.