Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,904
Ikoje hiyo mkuu?Kuhonga ni dalili ya umaskini!
Bro unaijua ile filing baada ya kumpa manzi hela?
Ikoje hiyo mkuu?Kuhonga ni dalili ya umaskini!
Bro unaijua ile filing baada ya kumpa manzi hela?
Kwa hiyo tunaweza kusema ni kiungo kama sukari kwenye chai, kwamba ukikosekana sukari kwenye chai hainywekiHapana, lipo linajitegemea. Pesa inanogesha tu.
Pesa sabuni ya roho.Kwa hiyo tunaweza kusema ni kiungo kama sukari kwenye chai, kwamba ukikosekana sukari kwenye chai hainyweki
Uko sahihi.Salamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke. Na nivizuri kumtunza mwanamke. Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.
Mwanamke mnafahamiana Leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi. Simaanishi msiwape,ila msome mwanamke umjue
Nikupe no ya voda au Airtel utume madharau huko?Nakupata wapi kwa madharau ?
Kuna raha fulani hivi unaioata unapompa hela , na ufahari fulani hivi usioelezekaIkoje hiyo mkuu?
Nakubaliana nawe, ukweli sio kwa wanawake tu sote tunajua utamu na umuhimu wa hela kwenye maisha yetu.Pesa sabuni ya roho.
Wewe tukupe au tusikupe?Salamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke. Na nivizuri kumtunza mwanamke. Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.
Mwanamke mnafahamiana Leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi. Simaanishi msiwape,ila msome mwanamke umjue
Nipe ya tecno au nokia 😂😂Nikupe no ya voda au Airtel utume madharau huko?
Naanza na wewe nimekuelewaSalamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke. Na ni vizuri kumtunza mwanamke. Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.
Mwanamke mnafahamiana leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi. Simaanishi msiwape, ila msome mwanamke umjue
Kwaiyo waomba udharauliwe kvpNakupata wapi kwa madharau ?
Unabaki kuwaza hilo pengo ulilotoa uta recover kwa mda gani tn inauma iyo,🤣🤣Kuhonga ni dalili ya umaskini!
Bro unaijua ile filing baada ya kumpa manzi hela?
Mi napenda hiyo dharau..
Ujaelewa bado?Kwaiyo waomba udharauliwe kvp
Haijawahi kuwa furaha kwenye kumpa hela mwanamke ambaye sio mke wako ni upwiru tuKuna raha fulani hivi unaioata unapompa hela , na ufahari fulani hivi usioelezeka
[emoji2957][emoji2957]Mi napenda hiyo dharau...
Jamani anaetaka kunidharau aje
Ipo brand tofauti.... silhouette sijui ....namuogopa machina maana zinakaribiana Kwa $$$ naona tu ni Bora ninunue ebay..🙌
=
btw: Ile bidhaa toka USA, ulijaribu pia kuitafuta masoko ya China?