Kumpa mwanamke pesa ni kumdharau

Kumpa mwanamke pesa ni kumdharau

Mna lawama sana,siku hizi tukiomba Hela wapenzi zetu mnakimbilia kusema ni biashara jamani mbona babu zenu walitunza bibi zenu bila lawama?

Mwanamke anayeheshimu maungo yake bila kubadilishana na oesa huyo ninamheshimu na kumwogopa.

Huyo hata utakosa umpe zawadi gani, lkn akina Mwasiti...kidogo tu utasikia...nikwambie kitu?
Sijasuka
Sijala
Sijui nini hapo hakuna kitu, ni walewale wauzaji kihanja
 
Wewe ni muhesebu visa!na muhesabu visa haliwezi penzi

Unaniita muhesabu Visa probably kwasababu Wewe just like 90% of other women hamuwekezi chochote kwenye mahusiano.

Love is always about give and take from both parties, hata Mungu ana kila kitu, ila unampa sadaka, sio amri tu, its a symbol of love to your Creator pia.

Sasa mfano mimi nina kipato kizuri nakuhudumia, kila mwezi hukosi vilaki kadhaa toka kwangu achilia mbali vizawadi ninavyokupa sasa wewe utanitunza vipi

1) Unaweza nipikia msosi mtamu? Statistically wadada wengi hampendi kupika na hampendi kupikia wapenzi wenu

2) Kunifulia na kusafisha gheto langu, make sure nakua smart kimavazi.

3) Can u make me a better man kiushauri na kifikra baada ya Mimi kutoka kwenye stress za kazi? Can we have friendly Convo Stories tukacheka na kufurahia maisha, sio mtu anakua boring hata Stories hana.

4) Unaweza ukaniheshimu na kupenda ndugu na marafiki zangu kama ninavowapenda?

Vyote nlivotaja hapo juu viko achievable, na mwanamke yoyote akiamua anaweza kufanya, ila sasa hamtaki.

Ndo maana tunawaulizaga apart from pussy what do u bring kwenye table, Ivo vitu vinne hapo juu, ndio wanaume tunataka kusikia majibu yake. Joannah
 
Unaniita muhesabu Visa probably kwasababu Wewe just like 90% of other women hamuwekezi chochote kwenye mahusiano.

Love is always about give and take from both parties, hata Mungu ana kila kitu, ila unampa sadaka, sio amri tu, its a symbol of love to your Creator pia.

Sasa mfano mimi nina kipato kizuri nakuhudumia, kila mwezi hukosi vilaki kadhaa toka kwangu achilia mbali vizawadi ninavyokupa sasa wewe utanitunza vipi

1) Unaweza nipikia msosi mtamu? Statistically wadada wengi hampendi kupika na hampendi kupikia wapenzi wenu

2) Kunifulia na kusafisha gheto langu, make sure nakua smart kimavazi.

3) Can u make me a better man kiushauri na kifikra baada ya Mimi kutoka kwenye stress za kazi? Can we have friendly Convo Stories tukacheka na kufurahia maisha, sio mtu anakua boring hata Stories hana.

4) Unaweza ukaniheshimu na kupenda ndugu na marafiki zangu kama ninavowapenda?

Vyote nlivotaja hapo juu viko achievable, na mwanamke yoyote akiamua anaweza kufanya, ila sasa hamtaki.

Ndo maana tunawaulizaga apart from pussy what do u bring kwenye table, Ivo vitu vinne hapo juu, ndio wanaume tunataka kusikia majibu yake. Joannah
Aisee una demand vitu vingi sana kutoka Kwa binadamu mwenzio,ye mwenyewe hawezi kujifanyia yote hayo ataweza kukufanyia wewe?
Ndio maana nakwambia muhesabu visa haliwezi penzi,ukianza kusema mbona hanifulii,mbona hanisafishii geto mbona mbona hizo zikiwa nyingi,hamna penzi hapo...
Tutafanya vilivyo ndani ya uwezo wetu
 
Mna lawama sana,siku hizi tukiomba Hela wapenzi zetu mnakimbilia kusema ni biashara jamani mbona babu zenu walitunza bibi zenu bila lawama?
Bibi zenu walikuwa wako composed. Unatunza kitu bikra unakula mzigo 0km kabisa hata ukiumwagia hela haina mbambamba. Hawaombi maana sio adabu kuomba omba.
 
🤣🤣🤣🤣 Tatizo hamjiongezi nyie,Tusipowaomba mnajikausha sana,au ndio mnakuwa hamjali?
😄 Hahah ukiona haupewi hela ujue hujiongezi. Ongeza ufundi wa hubani utashangaa muhuni kauza nyumba ya urithi mnagawana hela 🤣🤣🤣
 
Salamu,Pesa ni nzuri kwa mwanamke. Na ni vizuri kumtunza mwanamke. Kama mwanaume unatongoza kwa kuanza kutoa hela ili ukubaliwe hayo sio mapenzi ya kweli.

Mwanamke mnafahamiana leo na anaanza mizinga jua huyo hakupendi. Simaanishi msiwape, ila msome mwanamke umjue
Mi nshakusoma sistee niaje sasa.
Tufanye mafekeche mambo yawe yede yede.
 
Back
Top Bottom