Kumpa mwanamke pesa ni kumdharau

Kumpa mwanamke pesa ni kumdharau

Wanaume tutengeneze pesa tuwe wanaume wenye high value

Mwanamume wa high value ni yupi?

Ni yule amejiwekeza ana kibunda na good life hivi kwamba hahitaji kutongoza au atoe pesa amvue chupi manzi

Mademu wenyewe wanajipendekeza kwake hata bila ya yeye kutoa mkwanja, life lake tu tayari kivutio tosha kwa warembo

Kuhonga ili manzi akuvulie chupi ni dalili ya umasikini.
 
Wanaume tutengeneze pesa tuwe wanaume wenye high value

Mwanamume wa high value ni yupi?

Ni yule amejiwekeza ana kibunda na good life hivi kwamba hahitaji kutongoza au atoe pesa amvue chupi manzi

Mademu wenyewe wanajipendekeza kwake hata bila ya yeye kutoa mkwanja, life lake tu tayari kivutio tosha kwa warembo

Kuhonga ni dalili ya umasikini
Kuhonga ni dalili ya umaskini!
Bro unaijua ile filing baada ya kumpa manzi hela?
 
Back
Top Bottom