Kumiliki gari kunaficha umasikini

Kuna kausemi " jamaa kauza nyumba kanunua gari " sasa hana nyumba ila ana gari ya kutembelea ! Ni uuuungwana?? Ukiwa na vyote ni sawa ila nyumba ni utajiri endelevu ila gari ni utajiri pasua kichwa
 
Kuna muda ni kweli mafuta yanakua ayapo ya kutosha kuwafikisha point A, so mi sijaona kosa lake hapo
 
Ukifanikiwa kumiliki GARI kweli ww umeuaga umasikini ila kama unamiliki gari kisha ukaonekana unazo aisee toka kwenye hilo kundi la watu ......kuna tofauti ya GARI na gari(if u know,u know,) NARUDIA kuna tofaut ya GARI na gari"" range rover /passo
Kuna gari na takataka
 
Hii post imenichekesha sana kwa kweli, kwa kweli gari inaficha umaskini
 
Vile vile gari ni chanzo cha umaskini mkuu
Gari ya anasa ndio chanzo cha umaskini, kabla hujanunua gari ni lazma utengeneze chanzo cha mapato ya kuliendesha, maana litahitaji elfu 10-30 kwa siku kulingana na condition yake na ukubwa wa engine.Ukiwa na chanzo kimoja cha kipato ndio utegemee kuendeshea gari hakyanani hutakaa uinjoy, ipo siku utalipaki tu unless otherwise uwe kibopa.
Nakumbuka kipindi napush range rover P38 ile gari ilikuwa 4.6 HSE inakamua 30k kwa misele ya daily tu. Kwenda BMTL/JHPIEGO na kurudi kitaani ila nissan bluebird 1.5 ltr engine ikawa inakaribia kufunga week on the same fuel amount ya 30k.
Ila lazma uwe na chanzo cha mapato nje ya mshahara ili kuinjoy ndinga.
 
Tusio na magari tusubili NOAH zetu, soon na sisi tutaendesha magari Mkulu alituahidi..
 
😀😀 au bgmy!sijajuaga bgmy had posta km ngapi!! ila pale paref zaid
Ovesly, kujenga Dar nako matatizo sana sahivi. Lazma ujenge 30-40 kms toka unapofanyia kazi zako na hapo ndipo gari inapokupiga vibaya, labda uishi kwenye passo!
 
UCHAWI WA MZUNGU
 
Ovesly, kujenga Dar nako matatizo sana sahivi. Lazma ujenge 30-40 kms toka unapofanyia kazi zako na hapo ndipo gari inapokupiga vibaya, labda uishi kwenye passo!

hahhahani kweli..ukiona mtu anaishi karibu na mji mostly wamepanga!poleni kwakweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…