Kumiliki gari kunaficha umasikini

Kumiliki gari kunaficha umasikini

Wacha dharau ww hata ss wenye toyo tunaheshimika mtaani shubaakengemiti ww
 
hyo ni kweli aisee ila ni mbaya jaman!lulitokea msiba sehem nnayoishi !tunajiandaa kwenda msiban hio saa 7 jua kali kama lote !dada wa kazi anakuja aniambia nje majiran wananisubiri mm wapo kama wa4! eti wanajua ntaenda na gari... nilichoka sana!gari haina mafuta kifupi isingeturudisha!akili ikaja niwaambie hko tuendako na waswas na parking!nikawaambia tutembee tu jaman!arghhh
duuuh!! pole sana.
 
Nilipo nunua cc zangu 1500 vvti nilikuwa nasema ntakuwa naenda na gari town job mara mbili 2 kwa week mana nakaa mbali sana kudadeki achana na gari bhana niko radhi nisiweke vocha,nibebe kiporo kwa ajili ya chai na mchana mradi tuu nisikose kuingia town na gari
 
Nilipo nunua cc zangu 1500 vvti nilikuwa nasema ntakuwa naenda na gari town job mara mbili 2 kwa week mana nakaa mbali sana kudadeki achana na gari bhana niko radhi nisiweke vocha,nibebe kiporo kwa ajili ya chai na mchana mradi tuu nisikose kuingia town na gari


ila pumabf sana magari jaman!yanamaliza wese sio kitoto!mm nilipiga hesabu sehem nayofanya kazi its like 12 kms,,na kurudi 24!yaan kwa sik inatumika 10000/ya mafuta!while ukpanda daladala natumia 2000 nauli to n fro
 
Gari bhana.

Wanaomiliki magari wanaaminika sana kwamba wana hela, hawana dhiki.

Mtu mwenye gari anaeleweka haraka sana na anaaminika mno kuliko wewe unayetembelea ngondi ama Toyo.

Gari ni kama shetani fulani.

Gari huficha umaskini kwa kiasi kikubwa sana.
Vile vile gari ni chanzo cha umaskini mkuu
 
Back
Top Bottom