Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

BREAKING NEWS
Wametangazwa wagonjwa wengine 196

Waziri mkuu, Kassim Majaliwa, ametangaza muda mfupi uliopita na hivyo kufanya idadi ya jumla ya wagonjwa wa COVID 19, kuwa 480, kwa nchi nzima, Bara na Visiwani
 
Shupaza shingo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali imelifanyia kazi ombi la Mwigulu Nchemba la kutotangaza maambukizi na vifo vya corona. Heko Nchemba, kwa hekima zako. Kwenye baraza la mawaziri umesharejeshwa hivyo kwa kuihekimisha serikali!!!!!!! Anza kusherehekea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona ndege zilizonunuliwa tuliambiwa idadi yake?? Inshindikanaje kwenye coron na tutaipamaje serikali utendaji wake kama haitoi taarifa sahihi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kusema tangia last friday hatujapata taarifa yoyote ile ya janga Hili la korona. The last update ya Friday imebaki ile ile, idadi ya cases,wailopona na waliokufa ni ile ile. Sasa tunapodai ninhski yetu kupata taarifa manake kisaikolojia unajustify kwamba case zipo Lkn hazitangazwi.

Tusilazimishe ukweli uwe uwongo. Nimeona watu wameshaanza kuilalamikia serikali kuhusu kukosekana kwa Taarifa ya ugonjwa wa corona. Watanzania wenzangu tunatakiwa tuelewe kuwa hamna tamko lolote la serikali kwamba limesitisha kutoa takwimu za wagonjwa wa corana. Ila tunachotakiwa kuamini Ni kwamba cases zitakapoongezeka tutapewa taarifa. Kwahiyo tuendelee kutunza kumbukumbu ya takwimu tulizokuwa nazo za Mara ya mwisho.

Kwahiyo tunatakiwa kuamini kuwa kutotangazwa cases mpya za wagojwa wa korona Ni Neema kwetu wa Tanzania kwamb mapambano ya kudhibiti ueneaji upo vizuri

Mwisho Ilishatangazwa kuwa sio kila anayekufa au kuumwa siku hizi Ni corona. Makala Kama hizi brother paskal ndio zinazotengeneza taharuki na hata pengine wahudumu wetu wa afya kuanza kuwakimbia wagonjwa hata wengine ambao sio wagojwa wa korona. Tunatakiwa kuimini serikali ndio yenye mamlaka ya kutupa taarifa lkn kuendelea kuchukua Tahadhari.

Hata km hujapata taarifa ya cases za corona unatakiwa kutambua kuwa janga Hili lipo na tunachotakiwa ninkuchukua Tahadhari na sio kuanza kutafuta taarifa za kujiridhisha Hali upoje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uzi wako umemuibua MAJALIWA, kaleta taarifa yake ila ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAO.
 
Huogopi kusikia vifo ila hutaki kufa wewe, hebu ufe basi tukutangaze... watu wanajifukiza unataka afe nani.?
Kama nilivyosema hapo mwanzo. Ni kuwa takwimu zinatoka na taarifa zote. Maambukizi yamefika 480, waliopona 167, walikufa wameongezeka na kufikia 17.

Maambukizi sio kifo. Bado kuna possibility ya kupona.
Sasa ww hup uwoga wako hautokusaidia lolote. In the end ukweli utajulikana tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…