Binti Sayuni
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 367
- 54
Line zao ni bureKama TTCL wako serious hizo line watoe bure na wawekeze Kwa vijana wa vyuo kwa kuwapa muda wa hewani na bundle kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 2 asubuhi.
Line zao ni bureKama TTCL wako serious hizo line watoe bure na wawekeze Kwa vijana wa vyuo kwa kuwapa muda wa hewani na bundle kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 2 asubuhi.
Siyo wote bali ni kwa wale wanaotumia simu za ofisi na kuwekewa muda wa maongezi, usipotoshe watuWote mkuu!
Lakini kwa nini unasahau kwamba kwa kuwa wewe ni mfanyakazi,TTCL inakuhusu na wewe?Hivi hujui kwamba some of the money from TTCL will be used to pay your salary.Kwa nini mnashindwa kujitambua?Hapo ndo penye shida.
You're talking about willingness then you want people to join you in your business by force. Don't be silly.
I'm pleased with your services NOT.
AiseeeWafanyakazi wa umma wa nchi hii ni watumwa Tu ipo siku wataambiwa wainamishane wenyewe Kwa wenyewe na watakubali
Unajuaje sijitambui? Context yake ni kutumia TTCL; ni lipi nililoandika linaloonyesha kwamba "sijitambui" katika kutumia TTCL?Nimesema "kama utajitambua,"usichukue neno moja out of context.
Nashukuru kwa usikivu wako.Haya tumekusikia. Hongera kwa uzalendo
Inaonekana u mgumu kuelewa.Lakini kwa nini unasahau kwamba kwa kuwa wewe ni mfanyakazi,TTCL inakuhusu na wewe?Hivi hujui kwamba some of the money from TTCL will be used to pay your salary.Kwa nini mnashindwa kujitambua?
Huyu jamaa atakuwa na maslahi na hii TTCL sio kwa juhudi hizo na povu juu.Unajuaje sijitambui? Context yake ni kutumia TTCL; ni lipi nililoandika linaloonyesha kwamba "sijitambui" katika kutumia TTCL?
Nisipotaka kutumia TTCL kwa huduma zake mbovu ndio unitambulishe kuwa "Sijitambui?"
Unataka kupora maamuzi yangu kwa kushinikiza nitumie ninachoona hakikidhi mahitaji yangu, na ninapofanya hivyo uniambie 'sijitambui'?
Najua,lakini si kwa investment kama TTCL ambayo na wewe utafaidika.Inaonekana u mgumu kuelewa.
HUDUMA BORA HUWAVUTIA WATEJA KATIKA BIASHARA, SIO SIASA ZA KUUNGA JUHUDI.
Ni vema hii nguvu inayotumika kuwalazimisha wafanyakazi ingetumika kuboresha huduma tungekuwa mbali sana.
Mkuu, endelea na ligi yako ila kwangu hii ni comment ya mwisho kwako juu ya hili.
In a democratic society with open minded people, it's naturally agreeable to disagree.
Huyu jamaa atakuwa na maslahi na hii TTCL sio kwa juhudi hizo na povu juu.
Ndio nina maslahi TTCL kama na wewe ulivyo na maslahi TTCL,ila si mwajiriwa wa TTCL!Tofauti yangu na wewe ni kwamba mimi natambua wajibu wangu kama mwananchi kwa nchi yangu Tanzania.Sasa kwa kuwa Tanzania ni nchi yangu,ninao wajibu kama mwananchi kufanya anything it takes,no matter what,ili kuistawisha.Inaonekana u mgumu kuelewa.
HUDUMA BORA HUWAVUTIA WATEJA KATIKA BIASHARA, SIO SIASA ZA KUUNGA JUHUDI.
Ni vema hii nguvu inayotumika kuwalazimisha wafanyakazi ingetumika kuboresha huduma tungekuwa mbali sana.
Mkuu, endelea na ligi yako ila kwangu hii ni comment ya mwisho kwako juu ya hili.
In a democratic society with open minded people, it's naturally agreeable to disagree.
Huyu jamaa atakuwa na maslahi na hii TTCL sio kwa juhudi hizo na povu juu.