Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Kumekucha TTCL wateja sasa bwerere!

Siogopi kitu, huwezi jua huko mbeleni, Network nyingine zikawa mwisho kuwa hewani saa kumi na mbili jioni na TTCL zikawa zinaruhusiwa kuwa hewani 24/7......nimewaza tu....
Kwa utawala huu si Ajabu.
 
Ni hatua nzuri. Itaongeza wateja wa TTCL maana kuna watu na vyeo vyao wanalipiwa muda wa maongezi na mwajiri(serikali) hivo mapato yataongezeka kwa ttcl. Tuiunge mkono ttcl ikue isambae hata nje ya nchi.
 
Hao kina Vodacom,Aitel,Tigo, Halotel mliwaita wa nini kumbe mna kijana wenu mpendwa.Halafu kama huyu halotel ni juzi juzi tu JK na kiherehere chake akawashawishi walete mtaji wao huku hali akijua wana TTCL
 
Maumivu ya kichwa huanza polepole! Tusipokemea ujinga huu kupuuza nguvu ya soko, upumbafu wa Mugabe utatufika.
 
Maumivu ya kichwa huanza taratibu....ushahidi huo hapoView attachment 1111675View attachment 1111676

Tatizo liko wapi hapo? Kama tuna nia ya kweli ya Kuliinua Shirika letu la Simu na Kuliwezesha na Kulipa Hadhi yake kuna tatizo gani Wateja wake wengi wakiwa ni Watumishi wa Serikali ambao wanaweza wakawa wanazitumia hizo ' Line ' hasa kwa Shughuli zao za Mawasiliano ili mwisho wa Siku gharama zirudi huko huko Serikalini na hizo Pesa zitumike katika Kuliboresha zaidi Shirika na Faida yake ambayo baadae hutolewa kuwa ' Gawio ' Serikali Kuu iweze Kutumika katika Kufanya mambo mengine ya Kimaendeleo kwa nchi yetu hii? Hivi Watu wengine huko Shuleni au Vyuo Vikuu mlienda Kusoma kweli au Kujifunza tu namna ya Kuvuka Barabara na Kutawaza Maliwatoni?
 
Taratbu kila Mtu Kwa Nafas yake anaguswa nadhan 2020 S mbali mnajua nn chakufanya juz BIBI yangu Kule Iringa ambaye anapokea MSAADA wa tasaf kaambiwa akate kitambulisho cha wajasiliamali cjui tunaelekea wapi Kama taifa
 
Back
Top Bottom